Mitego ya wanawake

Mitego ya wanawake

Yusufu alitakiwa kujengewa sanamu la heshima kwa kuweza kuukwepa mtego wa mke wa Potipha,,, afu unaambiwa mke wa Potipha alikuwa pisi Kali Sana mpaka huwa najiuliza hivi mwamba Yusufu aliwezaje kuchomoka salama🤔??
 
Yusufu alitakiwa kujengewa sanamu la heshima kwa kuweza kuukwepa mtego wa mke wa Potipha,,, afu unaambiwa mke wa Potipha alikuwa pisi Kali Sana mpaka huwa najiuliza hivi mwamba Yusufu aliwezaje kuchomoka salama??
Kilichomsaidia Yusufu ni kujua madhara(hasara) atakazopata baada ya kuzini. Shida wengi wanaangalia utamu tu hawaangalii shubiri

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Imagine unakutana na mwanamke kwa mara ya kwanza, utakachokiona kwanza ni mwonekano wake, sasa unawezaje kutoa focus ili kuielekeza kwenye things that matter most? Zipi ni indicators za mapema kabisa kwamba huyu ndiye /siye?
Kwani mkikutana mara ya kwanza mnpanga hata kukutana tena, vitu vitaflow accordingly ila kama vikikwama hakuna neno unaendelea na maisha yaani ukifanya maisha simple yatakuwa simple (let if flow)

Makosa ni part ya maisha pia, Bibi zetu waliweza kuishi na wenza kwa miaka mingi sababu ya uvumilivu na walikuwa hawana choice (jamii ingewashangaa wakiachika, leo hii wana option kwahio kukaa nae kipenzi chako sio chaguo lako pekee..., the only way ni wewe kushukuru ya jana, enjoy ya leo huku ukijua kesho lolote laweza kutokea na ukichokwa usingaganize...
 
Yusufu pekee aliweza kuchomoka ktk dhambi hii,alikamatwa na mke wa waziri mkuu azini naye lakini alifanikiwa kukimbia na kumwachia vazi lake ambalo yule mama alimwonyesha mume wake eti yusufu alitaka kumbaka.tumheshimu mungu
Kwenye maandiko yusuphu alikufa akiwa na watoto? Isije ikawa alikimbia kuficha aibu
 
Yusufu pekee aliweza kuchomoka ktk dhambi hii,alikamatwa na mke wa waziri mkuu azini naye lakini alifanikiwa kukimbia na kumwachia vazi lake ambalo yule mama alimwonyesha mume wake eti yusufu alitaka kumbaka.tumheshimu mungu
We una uhakika gani?? Kama kweli yusufu alipiga halafu akasahau nguo yake ila kwa aibu mfalme alipoibamba ikabidi yusufu akane??

Unahisi wana wa israel (waandishi wa biblia) wangeamini stori ya nani?
Stori ya Mfalme mmisri aliyewatawala kikatili au stori ya ndugu yao Yusufu aliyewaletea chakula kipindi cha njaa??
 
Signs za weak men no. 1 Kama ni hivyo mbappe,Messi,Ronaldo,dangote,bakhresa,mondi,konde,burna boy,davido wote wangewakubalia videmu wote kuwa na msimamo brazia
Hivi mondi akiamua kula mademu wote wanaomtongoza, kwa siku atakula mademu wangapi?
 
Nimekwepa mitego mingi sana mkuu. Mingi mno,Wamama,Wake za watu,wanafunzi n.k. Mbinu ninayoitumia ni Moja Tu. KUJUA NIPO DUNIANI KUFANYA NINI(MAONO YANGU YA MAISHA). HIVYO KUEPUKA VISHAWISHI INAKUWA RAHISI. Kuna siku niliikwepa kanga moko moja hivi matata Sana!. Mweupe pe halafu ana nyamanyama zenye Milima na mabonde!

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
A man of focus
 
Hivi mondi akiamua kula mademu wote wanaomtongoza, kwa siku atakula mademu wangapi?
Ana 16m followers IG ke ni 10m tuseme kati ya hao 1m wanamtongoza daily do the math bro ni jambo la kujizuia tu
 
Tatizo mwanamke ukimkataa waziwazi mara anajiunga na chama chao # metoo. Hapo ndipo utakapoingiwa na maarifa wakati uko Segerea tayari!
 
Back
Top Bottom