StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 5,620
- 5,895
Siyo Yusufu Tu mkuuYusufu pekee aliweza kuchomoka ktk dhambi hii,alikamatwa na mke wa waziri mkuu azini naye lakini alifanikiwa kukimbia na kumwachia vazi lake ambalo yule mama alimwonyesha mume wake eti yusufu alitaka kumbaka.tumheshimu mungu
Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
??
