NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Hizi pisi ukifika 30 unaweza kuzipata kwa urahisi sana, ni kama vile hata hutongozi maana una uzoefu mkubwa tayari wa maisha kiujumla hata wanawake unakuwa na uwezo mkubwa kuwamudu, ukimhitaji mwanamke hupindishi pindishi unanyooka straight na kwa bahati nzuri ni kama muujiza waanawake wana kaheshima flani kwa wanaume wenye sifa za utu uzima, tofauti tu ni kwamba hii nguvu utayokuwa nayo hutaitumia kupita kiasi kwenye kuzinyaka pisi, hali yako itakuwa kama mtu ambae anapenda nyama choma lakini hana uwezo wa kulipia, siku akiweza kuinunua ama kupewa ofa ataishughulikia haswa na hata kuharibu ratiba zake, atatafuna mpaka mifupa kukomoa lakini ni mtu huyu huyu akienda sehemu ambayo kuna nyama za kutosha basi atazila kistarabau kwa ratiba yake, wala hana pupa wala mambo a kukomoa.
ukifika 30 pisi unaweza kuzipata kirahisi Ila akili inawaza mambo mengine ya kimkakati zaidi.... akili inawaza zaidi mikakati ya kufikia ndoto zako kimaisha, unawaza zaidi malengo na misimamo, akili inaweza maendeleo......
hata ikitokea umeipata pisi kali sana wala haikuharibii ratiba kusema kwamba utaikamia sana, ukipiga mshindo wako moja au miwili kazi imeisha, iweje starehe iwe kama mazoezi ya jkt tena kwa mtu unaemhonga ??
ni umri huu ambao hata pisi kali unaweza kuwa na mahusiano nayo ya urafiki bila kuwaza vingine, hiki ni kitu kigumu sana kwa vijana maji ya moto walio chini ya 30 wengi lazima wawe na lengo kuu la kuitafuna pisi ule urafiki ni kuzuga tu..... na ndio maana hata wanawake wanapenda urafiki na wanaume watu wazima.
Kunakua kuna tabia zinaanza kupotea, mambo ya kujisifu una madem wengi yanabaki kivyako private, kutangaza umeila pisi kali ili usifiwe nako unaanza kuweka iwe siri yako tu, kuhonga nako unaanza kuchukulia kama kuhudumia na sio malipo kweajili ya kupewa tundu, n.k
Ukubwa dawa, kuwa mkubwa uyaone
ukifika 30 pisi unaweza kuzipata kirahisi Ila akili inawaza mambo mengine ya kimkakati zaidi.... akili inawaza zaidi mikakati ya kufikia ndoto zako kimaisha, unawaza zaidi malengo na misimamo, akili inaweza maendeleo......
hata ikitokea umeipata pisi kali sana wala haikuharibii ratiba kusema kwamba utaikamia sana, ukipiga mshindo wako moja au miwili kazi imeisha, iweje starehe iwe kama mazoezi ya jkt tena kwa mtu unaemhonga ??
ni umri huu ambao hata pisi kali unaweza kuwa na mahusiano nayo ya urafiki bila kuwaza vingine, hiki ni kitu kigumu sana kwa vijana maji ya moto walio chini ya 30 wengi lazima wawe na lengo kuu la kuitafuna pisi ule urafiki ni kuzuga tu..... na ndio maana hata wanawake wanapenda urafiki na wanaume watu wazima.
Kunakua kuna tabia zinaanza kupotea, mambo ya kujisifu una madem wengi yanabaki kivyako private, kutangaza umeila pisi kali ili usifiwe nako unaanza kuweka iwe siri yako tu, kuhonga nako unaanza kuchukulia kama kuhudumia na sio malipo kweajili ya kupewa tundu, n.k
Ukubwa dawa, kuwa mkubwa uyaone