Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,725
- 6,782
Nina muda kidogo sipo active humu, ila hii story imefanya nirudi sababu naamini JF inawafikia watu wengi.
Huyu dogo anafanya kazi ofisini kwetu, alipata scandal za kutoka kimapenzi na kijana fln hv shoga hivyo ikaleta vulumati sana pale kazini. Mimi ndie msimamizi wake wa kazi hivyo dogo aliniomba sana appointment kunielezea niweze kumnusuru na kufukuzwa kazi ila nikapotezea sikutaka kujihusisha nae kabisa. Mwishowe dogo alifukuzwa kazi.
Last week nipo zangu sinza namwagilia kdg huku nasubiri wadau wanijoin kumbe na dogo alikua mahali pale (inasemekana hata huyo shoga alokamatwa nae nae ni wa hukohuko sinza). Dogo akaja kunisalimia pale mie nikaitikia lkn ni ile ya kumpotezea tu sababu sikutaka kabisa kuhusika na scandal yake ile. Dogo akanisihi nimsikilize nami kwa ustaarabu tu sikutaka kumfukuza, nikaona nimsikilizr. Aisee dogo aliongea mengi hadi akawa analia.
Kiufupi anasema yeye hajawahi kutongoza dem akamkubalia, dogo ni hawa type ya vijana watanashati na gym za hapa na pale, instagram kwa sana. Lakini anakwambia anahisi alizaliwa na mkosi sababu hajawahi tongoza demu akamkubalia ila huko fb na insta anatogonzwa na hawa vijana wa kiume wenye mionekano ya kike kike (mashoga), hadi mtaani kwake hao mashoga wanamsumbua balaa wanataka awale. Alienda mbali akasema kuna dogo mmoja alikua rafiki yake tu, siku moja akagundua huyo dogo kwenye simu yake kamsave jamaa eti 'Mume wangu' jamaa alipojua hakutaka kureact, siku moja huyo dogo akamuwekea mtego jamaa ili amkamue.
Dogo aliongea mengi sana akasema hata hio kesi pale kazini ni kwamba kuna shoga mmoja mtoto wa kishua sana alimtaka jamaa ila jamaa kule kuchomoa ndipo dogo likaamua kumkomesha kwa kutuma chats zao kwa secretary wa mkuu wetu pale kazini.
kiukweli utaona chanzo kikubwa ni huyu dogo kukataliwa na wanawake, na ulipotokea mwanya wa wanawake toleo jipya akaona aruke nao. Nawaombeen wanawake na mabinti, wapeni assist hawa vijana wanapotezwa na wanawake toleo la pili (mashoga)
Yangu ni hayo tu.
Huyu dogo anafanya kazi ofisini kwetu, alipata scandal za kutoka kimapenzi na kijana fln hv shoga hivyo ikaleta vulumati sana pale kazini. Mimi ndie msimamizi wake wa kazi hivyo dogo aliniomba sana appointment kunielezea niweze kumnusuru na kufukuzwa kazi ila nikapotezea sikutaka kujihusisha nae kabisa. Mwishowe dogo alifukuzwa kazi.
Last week nipo zangu sinza namwagilia kdg huku nasubiri wadau wanijoin kumbe na dogo alikua mahali pale (inasemekana hata huyo shoga alokamatwa nae nae ni wa hukohuko sinza). Dogo akaja kunisalimia pale mie nikaitikia lkn ni ile ya kumpotezea tu sababu sikutaka kabisa kuhusika na scandal yake ile. Dogo akanisihi nimsikilize nami kwa ustaarabu tu sikutaka kumfukuza, nikaona nimsikilizr. Aisee dogo aliongea mengi hadi akawa analia.
Kiufupi anasema yeye hajawahi kutongoza dem akamkubalia, dogo ni hawa type ya vijana watanashati na gym za hapa na pale, instagram kwa sana. Lakini anakwambia anahisi alizaliwa na mkosi sababu hajawahi tongoza demu akamkubalia ila huko fb na insta anatogonzwa na hawa vijana wa kiume wenye mionekano ya kike kike (mashoga), hadi mtaani kwake hao mashoga wanamsumbua balaa wanataka awale. Alienda mbali akasema kuna dogo mmoja alikua rafiki yake tu, siku moja akagundua huyo dogo kwenye simu yake kamsave jamaa eti 'Mume wangu' jamaa alipojua hakutaka kureact, siku moja huyo dogo akamuwekea mtego jamaa ili amkamue.
Dogo aliongea mengi sana akasema hata hio kesi pale kazini ni kwamba kuna shoga mmoja mtoto wa kishua sana alimtaka jamaa ila jamaa kule kuchomoa ndipo dogo likaamua kumkomesha kwa kutuma chats zao kwa secretary wa mkuu wetu pale kazini.
kiukweli utaona chanzo kikubwa ni huyu dogo kukataliwa na wanawake, na ulipotokea mwanya wa wanawake toleo jipya akaona aruke nao. Nawaombeen wanawake na mabinti, wapeni assist hawa vijana wanapotezwa na wanawake toleo la pili (mashoga)
Yangu ni hayo tu.