Mitego ya wanawake

Mitego ya wanawake

Nimewah kukatalia pisi mbili kipindi niko chuo. Ukisikia pisi pisi kweli mpaka nikiwaambia washkaji zangu hawaamini hata wao hawaamini kama niliwakatalia.

Kuna mmoja tulianza mazoea kipindi iko ndo tumeanza first year mpaka akasababisha nikaachana na manzi angu ambae huwa najuta kumpoteza baada ya kuchukizwa na ukaribu tuliokuwa nao maana ilikua too much.

To make it short, huyu dada alifanikiwa kulala kwangu zaidi ya mara 5 and we didi foreplay so many times but mashine iligoma kusimama sababu sikuwa na hisia nae.

Mwingine alikua rafiki wa manzi angu ambae nimewah kuleta uzi wake humu.
Huyu manzi kuna kipindi alipata sup namimi nilikua around chuo by then maana sikusafiri nilibaki kufanya field tukawa tunawasiliana before hajaja ukizingatia ni shem wangu akawa anadai akija nikampokee stendi nikakubali. Siku anakuja nilienda kumpokea akasema hana pakufikia anaomba afikie kwangu nikamkubalia.

Kiufupi,.. huyu dada alikua ni bonge moja la pisi lakini mashine iligoma kusimama licha ya mbinu zake zote maana nilishapata habari kuwa ana umeme na kweli nikiunganisha dots nikajua ni kweli ukizingatia nilishaponea chupuchupu kuukwaa huo ugonjwa hisia zangu zikastack kabisa and good enough siku zilzofuata aliingia period ndo ikawa ponapona yangu alvomaliza sup akaondoka.

Ila kusema kweli nilijutia maamuzi yangu


Huyo manzi wa pili alokua shem wangu nmefanikiwa kupita nae juzi. Saiv anauza ubuyu na anafanya delivery. Juz alipost ubuyu status nikamwambia aniletee akaja geto tukapiga show moja ya kibabe.
Saiv tunadate ila mguu mmoja ndani mwingine nje

Huyo wa kwanza kwakweli apana ni pisi kali kweli kweli na imetulia lakini inanuka mdomo na sijawah kuiambia na sjui naanzia wapi ila naitamani haswaa, now anakaa jirani na mkoa ninaokaa na inanipenda sana. Nipeni mbinu


PENYE MITI HAPANA WAJENZI
😂😂😂😂hapa hujawakatalia, ilitokea hitilafu katika zoezi!
 
Mie mwanamke anitake halafu anikose, huyo hata akifa ardhi itamkataa 🤣😂🤣
 
Kwa sababu kugegeda ni asili ya mwanaume. Yaani ni sawa na samaki kumrushia majini ni lazima tu atafurahia na kuogelea.

Kikubwa kwa mwanaume ni kuwekwa kwenye malengo yake hapo ndipo mtihani ulipo. Hapa ndio dada zetu huishia kutuita mbwa tu.

Maana mwanaume hadi akuweke kwenye malengo yake ni jambo lingine hilo na ni gumu haswa.
Au Siyo mkuu
 
Ukitongozwa na mwanamke then ukamchomolea basi utakuwa james delicious au juma lokole.
 
Ukitongozwa na mwanamke then ukamchomolea basi utakuwa james delicious au juma lokole.
😂😂😂😂😂Mkuu tuna vijana wenye msimamo, wasiobabaishwa na harakati za wanawake waombe radhi
 
😂😂😂😂😂Mkuu tuna vijana wenye msimamo, wasiobabaishwa na harakati za wanawake waombe radhi

Hakuna huyo kijana ,mwanamme kamili hawezi kukataa mbususu iliyojileta bure ,atakayekataa sio kwamba ana msimamo bali ni Aggrey Pita huku.
 
Sababu kubwa ni kwamba, mwanamke ameumbiwa mvuto wa asili kwa mwanaume wakati mwanaume hana mvuto wa asili kwa mwanamke, ni kwamba anahitaji kumfanyia mambo flani mwanamke ndipo apendwe wakati mwanamke hahitaji kutumia nguvu kubwa kumfanya mwanaume apagawe.
 
Wanaume wenzangu, kwa nini ni ngumu Sana kuchomoa mtego wa mwanamke akikutaka kimapenzi?

Wanawake wakitongozwa wengi huweza kupangua mashambulizi tofauti kabisa na upande wa pili. Yaani mrembo akutake na akuwekee mtego Matata unachomokaje?

Ladies labda mtuuzie mbinu za kivita, Kama kuhonga tunajua hamuwezi, ni kwanini wanaume wengi hawatoki kwenye mtego?

Kuna watu watakuja kusema wana msimamo nami nitawaambia aidha Siyo pisi Kali au hajakutaka.Akikutaka huchomoki nakwambia

Uzi tayari
Hili ni hitimisho la jumla. Umefanya utafiti gani kuwasemea wanawake na wanaume wote wakati ni mambo yako binafsi?
 
Back
Top Bottom