Mitego ya wanawake

Mitego ya wanawake

Wanaume wenzangu, kwa nini ni ngumu Sana kuchomoa mtego wa mwanamke akikutaka kimapenzi?

Wanawake wakitongozwa wengi huweza kupangua mashambulizi tofauti kabisa na upande wa pili. Yaani mrembo akutake na akuwekee mtego Matata unachomokaje?

Ladies labda mtuuzie mbinu za kivita, Kama kuhonga tunajua hamuwezi, ni kwanini wanaume wengi hawatoki kwenye mtego?

Kuna watu watakuja kusema wana msimamo nami nitawaambia aidha Siyo pisi Kali au hajakutaka.Akikutaka huchomoki nakwambia

Uzi tayari
Signs za weak men no. 1 Kama ni hivyo mbappe,Messi,Ronaldo,dangote,bakhresa,mondi,konde,burna boy,davido wote wangewakubalia videmu wote kuwa na msimamo brazia
 
Wanaume wenzangu, kwa nini ni ngumu Sana kuchomoa mtego wa mwanamke akikutaka kimapenzi?

Wanawake wakitongozwa wengi huweza kupangua mashambulizi tofauti kabisa na upande wa pili. Yaani mrembo akutake na akuwekee mtego Matata unachomokaje?

Ladies labda mtuuzie mbinu za kivita, Kama kuhonga tunajua hamuwezi, ni kwanini wanaume wengi hawatoki kwenye mtego?

Kuna watu watakuja kusema wana msimamo nami nitawaambia aidha Siyo pisi Kali au hajakutaka.Akikutaka huchomoki nakwambia

Uzi tayari
Jiongelee mwenyewe mkuu

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Signs za weak men no. 1 Kama ni hivyo mbappe,Messi,Ronaldo,dangote,bakhresa,mondi,konde,burna boy,davido wote wangewakubalia videmu wote kuwa na msimamo brazia
Did you say mondi? 😂😂😂unajua mkeka aliopita nao?
 
Did you say mondi? unajua mkeka aliopita nao?
Kwani uongo ushaingia account yake ya IG ukaona hizo dm za pussy zilivyojaa from across Africa na tz yenyewe Ila jamaa anachomoa tu au unadhani yule ni lala hoi ka ww unamchukulia poa eeeh
 
Kwani uongo ushaingia account yake ya IG ukaona hizo dm za pussy zilivyojaa from across Africa na tz yenyewe Ila jamaa anachomoa tu au unadhani yule ni lala hoi ka ww unamchukulia poa eeeh
Kachomoa wengi na kapita na kijiji vile vile 😂😂
 
Kwani hivi ultimatum ya kukubaliana huwa ni nini ? Au huchomoke wapi na kwanini ? Kama mtu unamtaka na yupo radhi kukupa mwili wake wewe umpe makaratasi ambayo tunaita pesa who has got a better deal au ni quid pro qou ?

Does till death do us part practical / do-able especially kwenye ulimwengu wa sasa ?

Kwamba nikipenda embe siwezi kula chungwa au mtu akiwa na kiu ingawa anapenda maji hawezi kunywa Bia au Soda ?

Kwamba unaweza kumiliki mtu kwamba huyu ni wako pekee ? au tamaa za mwili ni mpaka upende ?

Utaona sahihi au sio sahihi ni mtizamo wa jamii kwa wakati husika na ya wanawake kukataa ni sababu ya jamii inavyomuona mtu ambae anatembea huku na kule (mwanaume anasamehewa mwanamke sio kivile)
 
Binafsi naweza chomoa,nikiwa sikutaki ni sikutaki tu.

Tega Utegavyo, kwanza mazingira ya kutegwa tunayatengeneza wanaume wenyewe.

Mtu huna hisia nae unaanzaje hata kukaa eneo analokuepo?

Fine ni kazini,unaruhusu vipi hata akusogelee? labda kama tutapangwa kitengo kimoja na boss (kwa waajiriwa)

Ki home home ndio kabisa,ki ufupi siwezi tegeka kwa mwanamke ambae sijamtamani au kumtaka mimi kwanza.

Ukiona nimekukula sio mitego yako ila umenirahisishia kazi,maana hata usingenitega ningekutaka mwenyewe.
 
Wanaume wenzangu, kwa nini ni ngumu Sana kuchomoa mtego wa mwanamke akikutaka kimapenzi?

Wanawake wakitongozwa wengi huweza kupangua mashambulizi tofauti kabisa na upande wa pili. Yaani mrembo akutake na akuwekee mtego Matata unachomokaje?

Ladies labda mtuuzie mbinu za kivita, Kama kuhonga tunajua hamuwezi, ni kwanini wanaume wengi hawatoki kwenye mtego?

Kuna watu watakuja kusema wana msimamo nami nitawaambia aidha Siyo pisi Kali au hajakutaka.Akikutaka huchomoki nakwambia

Uzi tayari
Mkuu samahani kidogo, unamaanisha mwanaume (yeyote) akitakwa na mwanamke (yeyote) ni ngumu kuchomoa? Kama ni hivyo hapana mkuu.
Ingekuwa hivi, mwanaume yeyote akitakwa na mwanamke yeyote mrembo ni ngumu kuchomoa. Hapo sawa.
 
Back
Top Bottom