Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Naona Voda wameamua kuweka idadi ya MB zinazolingana.... MB hazipimwi kutokana na kiwango cha fedha tena...


Wameamua kufanya hivi ili kuhamasisha watu wanunue kifurushi cha Internet.

Wengi tulizoea kununua cheka ambayo tunaua ndege wawili kwa jiwe moja... Unapata dk na mb za kutosha...

Kwa ushenzi huu mlioufanya jana nahisi mmeanza kutuchoka... Naandika hii comment nikiwa na Lundo la Hasira....

Hah hah hah...... Eti lundo la hasira. Pole mkuu
 
TCRA ndo manina zao.
Airtel nao watafuata si muda mrefu. Binafsi niliiona hii, haya makampuni ya simu hapa Tz ni kama kulwa na doto.
 
Nimesikitika sana, ndani ya huu mwezi watapoteza wateja wa kutosha
 
Hebu Angalia haya maelezo
 

Attachments

  • 1423761802979.jpg
    1423761802979.jpg
    40.7 KB · Views: 181
Hii ni biashara huria! Hakuna sheria zilizo vunjwa!
G O O D B Y E E E
VODACOM
KAZI IMEWASHINDAAAAA
Vifushi vya masaa 24 voda kwenda voda
Tsh 150=10 sms
Tsh 500= dk 15+250sms+8mb
Tsh 650= dk 30+300sms+8mb
Tsh 1000= dk 50+300sms+8mb
vodacom kwenda mitandao mingine
Tsh 150= sms 10
Tsh 499= dk 7+300sms+8mb
Tsh 649= dk13 +450sms+8mb
Tsh 999= dk 20+1000sms+8mb
vifurushi vya wiki voda kwenda voda
Tsh 1050= sms 70
Tsh 2000= dk 60+150sms+60mb
Tsh 2800= dk 85+700sms+60mb
Tsh 4000= dk 140+1750 sms+60mb
Tsh 7000= dk 250+2100sms+60mb
Tsh 10000= dk 360+2500sms+60mb
vodacom mitandao yote kwa wiki
Tsh 1050= sms 70
Tsh 1999= dk 29+500sms+6omb
Tsh 3999= dk 49+500sms+60mb
Tsh 4999= dk 91+1000sms+60mb
Tsh 9999= dk 190+1000sms+60mb
WEWE UNAEJIITA MARKETING MANAGER......HUU
SIO UBUNIFU ILA NI UMBUMBUMBU
YOUR FIRED!!!!.......... 👹 📌 🔧
MB 8 ............NAZIPELEKA WAPIIIIIIIII HATA
MUKTASARI WA GAZETI LA MWANASPORT SIPATI
 
Hii mitandao ukiitazama kwa umakini utagundua ni unyonyaji tu,mbona hawaandai meseji za kutukumbusha pindi vifurushi vinapokaribia kwisha!
 
Is it a secret? i am not selfish! tunaumizwa sie walalahoi lazima tuambiane jinsi ya kujikwamua! nyie ndo uwa mnabandua matangazo ya nafasi za kazi ili eti 'kupunguza competition'
Haa Haa haaaaaa......
Nimecheka sana hapo kwenye tangazo la kazi
 
Nimeshangaa nimenunua kifurushi cha 649 nafkiri badala ya dk 14 nimepewa dk 13
 
Goodbye Vodacom, Kazi imewashinda!

Vifushi vya masaa 24 Voda kwenda Voda;

Tsh 150=10 sms
Tsh 500= dk 15+250sms+8mb
Tsh 650= dk 30+300sms+8mb
Tsh 1000= dk 50+300sms+8mb

Vodacom kwenda mitandao mingine;

Tsh 150= sms 10
Tsh 499= dk 7+300sms+8mb
Tsh 649= dk13 +450sms+8mb
Tsh 999= dk 20+1000sms+8mb

Vifurushi vya wiki voda kwenda Voda;

Tsh 1050= sms 70
Tsh 2000= dk 60+150sms+60mb
Tsh 2800= dk 85+700sms+60mb
Tsh 4000= dk 140+1750 sms+60mb
Tsh 7000= dk 250+2100sms+60mb
Tsh 10000= dk 360+2500sms+60mb

Vodacom mitandao yote kwa wiki;

Tsh 1050= sms 70
Tsh 1999= dk 29+500sms+6omb
Tsh 3999= dk 49+500sms+60mb
Tsh 4999= dk 91+1000sms+60mb
Tsh 9999= dk 190+1000sms+60mb

Wewe unayaejiita Marketing Manager, Huu sio ubunifu ila ni umbumbumbu. You're fired. í-½í±¹ í-½í³Œ í-½í´§; MB 8 nazipeleka wapi? Hata Muktasari wa gazeti la Mwanasport sipati!

Sambaza hadi ifike Voda.
 
Haya ndiyo baadhi mabadiliko ya vifurushi vya voda. Upumbavu mtupu huu.

Vifushi vya masaa 24 voda kwenda voda
Tsh 150=10 sms
Tsh 500= dk 15+250sms+8mb
Tsh 650= dk 30+300sms+8mb
Tsh 1000= dk 50+300sms+8mb
vodacom kwenda mitandao mingine
Tsh 150= sms 10
Tsh 499= dk 7+300sms+8mb
Tsh 649= dk13 +450sms+8mb
Tsh 999= dk 20+1000sms+8mb
vifurushi vya wiki voda kwenda voda
Tsh 1050= sms 70
Tsh 2000= dk 60+150sms+60mb
Tsh 2800= dk 85+700sms+60mb
Tsh 4000= dk 140+1750 sms+60mb
Tsh 7000= dk 250+2100sms+60mb
Tsh 10000= dk 360+2500sms+60mb
vodacom mitandao yote kwa wiki
Tsh 1050= sms 70
Tsh 1999= dk 29+500sms+i6omb
Tsh 3999= dk 49+500sms+60mb
Tsh 4999= dk 91+1000sms+60mb
Tsh 9999= dk 190+1000sms+60mb
 
Mimi nilijua kuna ishu kumbe wanaolalamika ni wale wanaonunua vifurushi vya kisengesenge vya sh 500, lipa monthly 30,000 unakula maisha.
 
Nyie mnaopost humu mnatafuta huruma tu, mbona mi nime quit na sijaanzisha thredi?!
 
watanzania bwana ujamaa hatuutaki tukiletewa ubepari tunalia lia. kaka ukiskia capitalist ndio hio, kuna tigo, zantel, airtel na smart hama voda nenda mtandao ambao unaona kwako ni rahisi. wote tukihama voda wakiona wateja wanaondoka wenyewe wataeka bundle nzuri.

capitalist hapigwi kwa maneno kaka
 
Back
Top Bottom