Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Ukinunua kifurushi cha internet pekee yake unapata MB 200 kwa sh. 500. Ukiwa unahitaji internet kwa sana bora kununua internet pekee, hivyo vifurushi vingine unanunua kwaajili ya kupiga simu tu na msg, hamna la ziada.

Ila wamepenguza kwa kiasi kikubwa sana. Labda wanatafuta kupunguza wateja, huwezi jua.

nahisi hili ndilo litakuwa lengo lao, yaani ujiunge bundle mbili tofauti!!! hawa watakuwa wanaamini kuwa kila mwenye smartphone ni tajiri so atajiunga tu bundle zote bila tatizo, teh teh teh!
 
Sasa hivi huku ukijiunga YATOSHA unaweza shinda TOYOTA IST
 
Mkuu hebu subiri kidogo.. Maana na leo Tigo wamefanya kama Voda jana.. Subiri uone kesho Airtel kama nao wataongeza..

Mkuu huu wizi wa haya makampuni ya simu unaamuliwa na TCRA. Wao ndo wanawapangia nini cha kufanya. Huoni kuwa its just a coincidence kote wameamua the same??
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimefanikiwa kuagana na hawa MAKABAILA saa tisa ile alasiri. Nimejiunga na airtel sasa naona maisha burudani.
Vodacom wapuuzi sana
Ofisi za airtel leo clocktower arusha zilikuwa na watu wengi sana wakininua line
Hofu yangu sasa hawa nao wasije pandishe bei
 
Mkuu huu wizi wa haya makampuni ya simu unaamuliwa na TCRA . Wao ndo wanawapangia nini cha kufanya. Huoni kuwa its just a coincidence kote wameamua the same??
Kama ni hivyo kirefu cha neno hili ni TOTAL crazy Authority.
 
Last edited by a moderator:
Naenda smart manina zao afu yule na likipala lake anataka kwenda kigamboni ila anasukia pale karibu
 
Mimi nimefanikiwa kuagana na hawa MAKABAILA saa tisa ile alasiri. Nimejiunga na airtel sasa naona maisha burudani.
Vodacom wapuuzi sana
Ofisi za airtel leo clocktower arusha zilikuwa na watu wengi sana wakininua line
Hofu yangu sasa hawa nao wasije pandishe bei

Hongera sana mkuu... Mi pia naenda tafuta makazi airtel
 
Nime nunua line ya airtel leo ghafla, nime enjoy sana! Wamenipa dak 25 all networks 150 mb na sms kede (japo sipendi sms) kwa tsh 599 tu! Voda pambafu zenu!
 
Kama hamjajua makampuni yote yanaanza kuminimise cost katika mwaka huu wa 2015; especially kwa ajili ya kampeni mpya zitazo anza pia ni njia ya kufanya wateja wanunue vifurushi tofauti kulingana na mahitaji
Kama internet itakulazimu ununue vifurushi vya internet tuu
Kama unaitaji kuongea basi ndio utanunua vya kuongea
 
G O O D B Y E E E
VODACOM
KAZI IMEWASHINDAAAAA
Vifushi vya masaa 24 voda kwenda voda
Tsh 150=10 sms
Tsh 500= dk 15+250sms+8mb
Tsh 650= dk 30+300sms+8mb
Tsh 1000= dk 50+300sms+8mb
vodacom kwenda mitandao mingine
Tsh 150= sms 10
Tsh 499= dk 7+300sms+8mb
Tsh 649= dk13 +450sms+8mb
Tsh 999= dk 20+1000sms+8mb
vifurushi vya wiki voda kwenda voda
Tsh 1050= sms 70
Tsh 2000= dk 60+150sms+60mb
Tsh 2800= dk 85+700sms+60mb
Tsh 4000= dk 140+1750 sms+60mb
Tsh 7000= dk 250+2100sms+60mb
Tsh 10000= dk 360+2500sms+60mb
vodacom mitandao yote kwa wiki
Tsh 1050= sms 70
Tsh 1999= dk 29+500sms+6omb
Tsh 3999= dk 49+500sms+60mb
Tsh 4999= dk 91+1000sms+60mb
Tsh 9999= dk 190+1000sms+60mb
WEWE UNAEJIITA MARKETING MANAGER......HUU
SIO UBUNIFU ILA NI UMBUMBUMBU
YOUR FIRED!!!!..........   
MB 8 ............NAZIPELEKA WAPIIIIIIIII HATA
MUKTASARI WA GAZETI LA MWANASPORT SIPATI
Asante kwa kuliona hilo, naomba tuwaambe MODERATORS waandike heading hivi..!! (KWAHERI VODACOM & TIGO). Walichokifanya vodacom ndiyo walichokifanya Tigo, yaani ni COPY & PASTE.

Ila nadhani kuna harufu ya Serikali ya CCM kuyalazimisha makampuni ya simu yapunguze hizo MB watu tusiwe tunarushiana clip za kuhamasishana kuipinga Katiba yao na Operesheni tokomeza CCM.
 
Back
Top Bottom