wanataka kufanya kama Tanesco walivyo tubambika bei kubwa ya umeme na makampuni ya simu yanapita njia ilele sisi watanganyika tukoje mbona tumekaa kimya bila kuchukua hatua.
Sio MB 125 zimepungua hadi kufikia 10 hebu angalia saivi hapo then lete feedback hapa.
Kwa niaba ya wa TZ wote watumia simkono,naiomba serikali ipige marufuku MB 8 zinazo ambatanishwa na muda wa maongezi.
MB hizo zinatumika kuwaibia wa TZ .
Huo ni mtego mbaya sana .
Baada ya hizo mb kwisha haijalishi ulikuwa na salio kiasi baada ya dakika moja linaliwa lote!
Kisingizio umetumia internet.
Huu ni wizi.
Hatutaki muungano huu wa mb na muda wa maongezi
Mimi mwenyewe nshahama. Unajiunga mfano university promotion unaambiwa upo nje ya eneo la chuo.
Sasa sijui hadi uingie ifisi ya VC ndo eneo la chuo.
mdau umenichekesha ila ni kweli...
pole mkuu kwani ukiona mb8 ni shida tumia zako nokia tochi tu..