Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Wameshaona kila mtu ana Smartphone, watu wanawasiliana WhatsApp. Akijiunga na kifurushi cha 500/= hata dakika zake haziishi mawasiliano yote ni WhatsApp. Wameona kwa sasa watukamate kwenye bundles.
 
naona hawa VODACOM wanataka kuongeza mapato kwa kujanja,
wanataka tuwe tunanunua bundle mbili kwa wakati mmoja, yaani ununue bundle la Internet tu, na pia ununue bandle la kawaida kwa ajili ya sms na calls.
huu usanii mtupu
 
Is it a secret? i am not selfish! tunaumizwa sie walalahoi lazima tuambiane jinsi ya kujikwamua! nyie ndo uwa mnabandua matangazo ya nafasi za kazi ili eti 'kupunguza competition'

Duuu kumbe ni siri? Ila tunafauduu
 
Ukinunua kifurushi cha internet pekee yake unapata MB 200 kwa sh. 500. Ukiwa unahitaji internet kwa sana bora kununua internet pekee, hivyo vifurushi vingine unanunua kwaajili ya kupiga simu tu na msg, hamna la ziada.

Ila wamepenguza kwa kiasi kikubwa sana. Labda wanatafuta kupunguza wateja, huwezi jua.
Nimeipenda
 
Asee nilikua sijui bhana nimejiunga na tigo leo asubuhi kifurushi cha 499 nidownlod nyimbo nimedownlod moja tu inakuja masage nimebakiwa na mb 5 nikapiga simu customer nilichojibiwa ndo nakikuta hapa now naperuzi kwa mb 1 tu!
hatuna nyimbo moja katika kiswahili, tuna wimbo mmoja
 
Yani kutoka mb 100 hadi mb 8 shame on you Vodacom huyo January sjui February ni dhaifu kama viongozi wengine wa ccm
 
Nyie lalamikeni tu,mwenzenu anawekewa vifurushi vya mwaka mzima bila kikomo,ndo maana anashinda twitter na facebook akijinadi.cha mb8 af anataka mkamlaiki na kumfolo..daaah,aina za unyonyaji ni nyingi sana
 
Hii nchi ina laana yaani gharama za internet duniani zinashuka kila cku huku kwetu eti ndo zinapanda. Hii mitandao ya simu ishaona biashara yao inakufa ndo wanajaribu kujiokoa coz walikua washazoea kuvuna mapesa kwa wananchi.
 
Yani jana me nlidata nimejiunga buku kununua ile nimefungua data naambiwa ndugu mteja kifurushi chako cha Internet kimekwisha yani waliniboa sana me nshazoea nanunua mb 100 na dakika 21 mitandao yote kwa buku
 
Ajabu sana tz viongozi wanafanya biashara na haya makampuni ya simu za mikononi ndio maana gharama zinaongezwa kinyemela viogozi wamekaa kimya.Jiulize mtumiaji atalazimishwaje kununua bando yenye muda wa maongez,sms na internet badala ya kupewa option achague huduma anayotaka kulingana na mahitaji yake. je ni wangapi wenye simu za kutumia internet?. je hiyo budle ya internet isipotumika zinaenda wapi, na sms zinazobaki zinaenda wapi kama sio wizi wa mchana ni nini.utashangaa unalazimishwa kutumia bundle ndani ya muda viginenvyo unaporwa bila taarifa hata kama hukutumia kutokana na dharura kwa mfano maeneo mengi umeme unakatika mtu hawei kuchaji simu yake na kuitumia matokeo yake anakatwa budle yake yote. huu ni wiziiiiiiiiiii.

mkuu hapo umenena vyema, hapo kuna aina ya wizi huwa unafanyika! kwanini warundike dakika, sms na bundle pamoja!?
 
Hama vodacom njoo yatosha. Mm voda nipo sababu ya mpesa tu. Wezi sana na vifurushi vyao hasa ukinunua cha pesa kubwa
 
Tigo nao 999 unapata 8mb,649 pia 8mb,sijajua hyo mingne
 
Hakika nchi hii ingekuwa daladala ningekwisha telemka siku nyingi sana.
 
Happy birthday

wezi tu hao mimi nilinunua bundle la 2.5 GB usiku na sikutumia internet kwenye pc mpaka asubuhi nika log on ile nafungua e mail tu bundle likaisha , nikanunua tena wakafanya hivyo hivyo so 5 GB for 1 day na hata e mail sikuzisoma ,nikipiga cm wananipa hadithi tu nimeamua kuitupa laini yao
 
Back
Top Bottom