Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Vyombo vya habari kama radio na magazeti watapiga kimya kwa sababu haya makampuni ni wadhamini wao wakubwa sana
 
Mtaka yote

Wahuni kabisa hawa, wameniudhi sana hawa wajinga. Kutoka mb 700 hadi mb 60 wametumia masaburi au nywele kufikia uamuzi huo. Tuwaache na mtando wao. Wanatoa sms kibao nani ana shida nazo
 
Last edited by a moderator:
Wahuni kabisa hawa, wameniudhi sana hawa wajinga. Kutoka mb 700 hadi mb 60 wametumia masaburi au nywele kufikia uamuzi huo. Tuwaache na mtando wao. Wanatoa sms kibao nani ana shida nazo

Nani anaendesha hujuma hizi?
 
Ukinunua kifurushi cha internet pekee yake unapata MB 200 kwa sh. 500. Ukiwa unahitaji internet kwa sana bora kununua internet pekee, hivyo vifurushi vingine unanunua kwaajili ya kupiga simu tu na msg, hamna la ziada.

Ila wamepenguza kwa kiasi kikubwa sana. Labda wanatafuta kupunguza wateja, huwezi jua.

Ni vya hovyo kweli kweli hizo 200 mb ni fake nunua UJIONEE USINGOJE KUAMBIWA HATA ukizima data zinapukutika kama nini sioni mfano
 
Jamani hii mitandao nishida sana,nimejiunga tigo bima nimeugua nimepeleka makaratasi ya hosptal ili nipate fidia yangu ya tigo bima pona wakakataa eti mpaka nilazwe ndo naweza rejeshewa gharama zangu.
Nimemindi kweli nikaamua nijiondoe mana nakatw kila mwezi alafu pesa yangu hainisahdii,wanadai nikijiondoa sitolipwa wala kurudishiwa michango yangu ya mwaka mzima,sasa nashindwa elewa hii inakuwaje niwachangie wao wapate pesa mimi nipate mashariti kwenye pesa yangu?
Mwenye uelewawa na utaratibu wa kujitoa na kurudishiwa michango yangu ya kila mwezi tafadhali.

Terms and conditions apply. Si ulikubali, ukitaka kumficha Mbongo kitu basi kiweke kwenye maandishi.
 
Triple G unatumia app gani?!

natumia kickass torrents app hapa ninapoandika huu Uzi movie nne zimemaliza kudownload zenye ukubwa wa kati 800mb-1.9gb ni kwa kutumia bila kikomo ya buku toka Vodacom..
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilijua kuna ishu kumbe wanaolalamika ni wale wanaonunua vifurushi vya kisengesenge vya sh 500, lipa monthly 30,000 unakula maisha.

We nawe una shida, mi nanunua cha mwez 15,000 wameshusha bando sshv mb 600. Bora university promo 1,500 1.GB
 
We ngoja tu! Naona nao wameingia kwenye siasa rasmi.
 
Airtel: MB 800 = 900/week. Inatosha kwa kuperuzi na network c kama ya tigo. Ipo poa zaidi!
 
Hodi hodi AIRTEL,kuanzia sasa mi ni mteja wenu voda wamechemka
 
Back
Top Bottom