Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,552
- 21,685
ngoja na mm nihamie airtel...hivi bando airtel unajiungaje na hilo la 400 ni muda gani lina expire?!
Kwa sasa vifurushi vya voda kuanzia 500 mpaka 1000 vinatoa bando yenye mb8. katika hiki kipindi cha mitandao ya kijamii na ulimwengu wa internet kwa ujumla hamtutendei haki wateja wenu this is too much.
Imagine kipindi cha 100mb zilikua zinaisha ikaja 50 tukawa tuna bajeti ila kuanzia jana 8 mb mtatumia mtandao wenu wenyewe. mimi najitoa.
goodbye vodacom.
Mimi nipo na Vodacom bila kikomo kwa buku tu ...haki akweli kifurush hicho kimenifanya nidownload hadi movie kumi per day kwenye cmu na kuhamishia kwenye PC..hapa nazungumzia movies zenye 600mb- 1.9gb..!! napata raha..download speed napata hadi 1.7mb..