Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Jamani hii mitandao nishida sana,nimejiunga tigo bima nimeugua nimepeleka makaratasi ya hosptal ili nipate fidia yangu ya tigo bima pona wakakataa eti mpaka nilazwe ndo naweza rejeshewa gharama zangu.
Nimemindi kweli nikaamua nijiondoe mana nakatw kila mwezi alafu pesa yangu hainisahdii,wanadai nikijiondoa sitolipwa wala kurudishiwa michango yangu ya mwaka mzima,sasa nashindwa elewa hii inakuwaje niwachangie wao wapate pesa mimi nipate mashariti kwenye pesa yangu?
Mwenye uelewawa na utaratibu wa kujitoa na kurudishiwa michango yangu ya kila mwezi tafadhali.
Rwankomezi pole, usiwe unajiunga na kitu kabla ya kufanya uchunguzi wa kutosha na kuridhika na kile utakachopata.
Anyway, fanya mpango na Dr unaemjua akuandikie report ya kulazwa na makorokoro mengine alafu upeleke wakufidie hela yako alafu JITOE!!!
Last edited by a moderator: