Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

wewe mama una mikwara ntashangaa sana kama na wewe hua unavaaga tule tuyeboyebo twenye kamdoli kenye maskio.
Manake kwa mkwara huu na tuyeboyebo uto hauendani kabisa..
Jifunze Kiswahili kwanza, ndiyo mistari yako ya kutongozea hiyo? Pitia uzi ujifunze wenzako wanavyomwaga mistari.
 
Sio wote tulienda kujifunza sarufi.
Kuna masomo zaidi ya moja shuleni
Hakuna cha "sarufi" mna ujinga wa kuchanganya R na L. Unataka kukiongea na kukiandika Kiswahili kama lugha yako ya asili.
Kaaisikilize tena audio clip kwenye post 1851
 
Hakuna cha "sarufi" mna ujinga wa kuchanganya R na L. Unataka kukiongea na kukiandika Kiswahili kama lugha yako ya asili.
Kaaisikilize tena audio clip kwenye post 1851
Punguza makasiriko. Jambo hilo sio la ujinga kama unavyowaza.
 
Bado nawaza Faizafoxy yupoje
Wala usiwaze, huyu hapa, mtazame vizuri...

1690643938324.png
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Bibi una mikwara na huo uzee wako tutakupeleka wapi kama sio kututafutia vijana murder case maana moto wetu sio wa kitoto
 
naaaam supu ya pweza na vifurushi bibi lazima ukimbie na pichu mkononi
Aaah wapi, rijali haswa atakuja mitandaoni kutongoza nyuma ya keyboard?

Rijali wa uhakika akipita mtaani anafatwa na wanawake kama hatuna akili vizuri. Kasome kuhusu "androstanes" kijana utanielewa.

Nyie wa mtandaoni mbona mnajulikana, ukipata bwana unakwenda kufuramishwa, mkipata mwanamke mpaka mbustiwe.
 
Back
Top Bottom