Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 4,614
- 10,861
Wewe mmama unagubu sana
Wewe mmama unagubu sana
Unapata mda gani kumhudumia Mzee? Au ndio mfumoMpaka utajuwa kusema jimama badala ya mmama.
😄😄 wewe bibi umedata.Hizo zinaitwa nyege mshindo.
Wewe tafuta mume wa kukuoa.
Hizo zinaitwa nyege mshindo.
Wewe tafuta mume wa kukuoa.

Sasa si nakuonesha kuwa umelala nipo mbele zaidi ya huo uzi wako, unataka kula tunda masihara yake ni Dirham tu.Sasa hapa mama yangu amefikaje tena hapa. Ebu tukosoane kwa stahaa (in kingai wa ccm voice)
Dirham zipo za kutosha kama bankSharti ni moja tu, Dirham.
Wanaokutaka wanaokupenda waje wakutingozee 🎼🎼🎵Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.