🙌🙌🙌🙌🙌🙌Si huyo tayari?
Mie na Tamari damu damu. Unajuwa maana ya jina "Tamari"?
We mtoto ...❣ ❣️... maskhara hayooo❣️Kitantosha wapi kijichuguu hicho! Hili naongelea Lamborghini, siyo kiji Porsche:
View attachment 2677780
Sawa,Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Umeua FaizaFoxy ❣️... nabata ushungu wallahi❣️❣️❣️Orijino, siyo mchina huyo. Hakuna "maskhara" hapo.
Sisi vipozeo ndo tulishajiishia mwa'kwetu❣️❣️❣️Orijino, siyo mchina huyo. Hakuna "maskhara" hapo.
MimiNitajie Mtanzania mmoja ambae yupo 100% "sane".
Ahsante sanaHongera sana.
Zinatafutwa! ... PENYE NIA PANA NJIA❣️Hapendwi mtu hapa zinapendwa Dirham, una Dirham wewe?
Tupendane kwa dhati tu kutoka moyoni. Mambo ya hela yatakuja tu mbeleni. Mie sina ila we si unazo? Tutatumia tu za kwako, hakuna neno.Una Dirham wewe?
Mashairi tena jaman?Kama huna Dirham andika mashairi ya Dirham.
Baby wangu umeongea point sana leo, and this is why i love you..