Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,794
- 58,421
Tatizo pesa hawana. Sasa mama katuetea vidume kutoka Dubai na Dirham zao wao roho zinawauma:
Ila wanasema usiache mbachao........
🤓🤓🙌
Tatizo pesa hawana. Sasa mama katuetea vidume kutoka Dubai na Dirham zao wao roho zinawauma:
Sasa si anataka wee umpakatee?? [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mmoja juu hapo anajiita babukijana anataka kupakatwa.
Tatizo ulijificha sana..Zigo limekaa miaka hawalioni thamani yake.
Sasa walie tu, kiendacho kwa mganga...
😬😬😬 Wakukande kwa wapi Shanga zi ?Wacha wenye Dirham zao kutoka Dubai walikande wapendavyo:
Tumekwambia uwabebe,alafu upakatwe na hao waarabu wako huelewi lughaKuna mmoja juu hapo anajiita babukijana anataka kupakatwa.
Unawahi ukiwa umevaa pampas..
Gongo lote hili nisiwabebe tena? Wewe shombo kweli kweli, upo coco beach unauliza baharini wapi?Tumekwambia uwabebe,alafu upakatwe na hao waarabu wako huelewi lugha
Kelele we malaya mzee badae utaanza kutoa puru ndo ukome hilo gongo nani anataka sasa.Gongo lote hili nisiwabebe tena? Wewe shombo kweli kweli, upo coco beach unauliza baharini wapi?
Tena nnambeba nnampelekea na kisosi bafu, Kwa raha zangu. Mahaba wanakula wenye Dirham wewe.
Nnamuogesha na akitoka huko nnamsinga kwa tui la kwanza la nazi, sharti linakamuliwa kwa maji ya madafu. Utayajuwa wapi mambo hayo, pesa wewe. Usione vinaelea...
DP World hoyee.
Sema huna Dirham bana, unafiri uliyoyaandika kwanza kwa kulia lia upakatwe yamefutika?Kelele we malaya mzee badae utaanza kutoa puru ndo ukome hilo gongo nani anataka sasa.
Yaani mapenzi yageuke km gym.
Mi siwezi kukuhonga bila we kunipa hela nibebe hilo gongo lako sahau.
Na tui lako la nazi baki nalo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi nitafutie na mie mwanaume wa kiarabu basi.
Khaa, hana Dirham huyo, mie nshazowea Waarabu wa Dubai.Sasa si anataka wee umpakatee?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya bibi hao wataondoka tunarudi kwenye shughuli ile yetu.Sema huna Dirham bana, unafiri uliyoyaandika kwanza kwa kulia lia upakatwe yamefutika?
Wenyewe Waarabu wa DP World Dubai zigo hili - Kwa sauti ya Kipozeo.
Ache weeeee 😬Zigo limekaa miaka hawalioni thamani yake.
Sasa walie tu, kiendacho kwa mganga...
Ntakukumbusha badae dada usijali mi nawewe tenaSasa wataondoka vipi na mkataba wa milele?