nijibu bas Kama unanipendaa !! pesaa zipoooUna pesa za kutoa sadaka?
sound za humu bwana Ni za Chinese Subwoofer...jitahidini hata msound ki Home theater.Hivi dada alipatikana mtongozaji anayejielewa kweli manake haujatupatia mrejesho ili ufunge mjadala😀😀Ni bora umejisemea ukweli kuwa huna "mana" wala maana, hata mimi nimeliona hilo. Unajiandikia tu mradi uandike. Sikushangai.
Hivi dada alipatikana mtongozaji anayejielewa kweli manake haujatupatia mrejesho ili ufunge mjadala😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂nakuona kwenye glass bibie kila ninapokunywa majiView attachment 1459074
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Salama laaziz,mzima?Za mchana sweetie.
Salama laaziz,mzima?
Niliona umekaa mbali kweli manake dedication ya ule wimbo niliokuwekea pale hujajibu 😂Mzima, jana nilikuona ulivyovamia uzi wetu nikasema ngoja nikae mbali.
Niliona umekaa mbali kweli manake dedication ya ule wimbo niliokuwekea pale hujajibu 😂
Ile ilikuwa ya goli 5, ila za jana si zikikuwa 4?
Ni kweli zilikuwa nne,nilitoa maelezo
Wewe lazima ulimtoa nyoka pangoni.nakuona kwenye glass bibie kila ninapokunywa majiView attachment 1459074