Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,822
- 5,415
Wanaume wa dar kweli sound f..ningekuwa mimi tayari angekuwa ananiambia "LIONE HUKO!! NIPE TOP YANGUUU BWANA!!!"
Look at urban dictionary my dearKirefu chake nini?
Nmependa kila kituUmependa ID au avatar? Au mwandiko?
"Tuyajenge" unamaanisha nini? Au ndiyo mstari wako wa kutongozea?Faiza upo ulinifanya nimepata ban mpaka nimepoteza ac yangu embu njoo Tuyajenge basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo nawaanika hapa maana wanajifanya wao vidume sana.Hao wanatafuta laana sasa,ina maana hawajui kuwa wewe ni bibi ?
Ndiyo nawaanika hapa maana wanajifanya wao vidume sana.
Wasione jina la kike wanaingia pm. Akili zao zinawatuma kuwa kila mwanamke anaeingia mitandao ya kijamii ni malaya.
Ni madomo zege yanayoshindwa kutongoza wanawake wanaowaona mitaani. Wamebaki kujificha nyuma ya keyboard na kudandia.
Wasio na adabu.
Mi nataka namba yakoTuma kwenye namba hii +255 654 060 290 kuna yatima wengi wanahitaji sadaka zako hapo ni kituo cha kulelea yatima.
Sijaona hata mmoja aliyefika hitimisho.Kwani katika pitia yako ya uzi huu umeshaona yeyote aliyekataliwa?
Bibi we nae mbna mzitooo hvyooo ,na chumvi yote huelewiii hii misamiati dah"Tuyajenge" unamaanisha nini? Au ndiyo mstari wako wa kutongozea?
By the way , nakupendaKwani katika pitia yako ya uzi huu umeshaona yeyote aliyekataliwa?
Bebi mimi sitongozi.Natoa tu pesa napewa mzigoKutongoza utongoze wewe dictionary nikacheki mimi?
Ndivyo mama'ko alivyokufundisha namna anavyotongozwa hivyo?
Umezidi kuhakikishankuwa hiyo ndiyo njia uliyoikuta kwa mama'ko nyumbani. No foubBebi mimi sitongozi.Natoa tu pesa napewa mzigo
Umezidi kuhakikisha kuwa hiyo ndiyo njia uliyoikuta inatumika kwa mama'ko. No doubt.Bebi mimi sitongozi.Natoa tu pesa napewa mzigo