let me try...hellow girl can i have your attention i need to have a word with you ,,,but i wanna make it real clear and shortly to you if you dont mindWale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
so your yatima now ? tell you what i do have the money to donate by i like for it do be deliver that by myself just tell me where you're and i will have it by my own handWacha porojo tuma sadaka namba hii 0654 060 290 kituo cha yatima.
ahahah..ninatuma kabla ya eidKabla ya kuanza porojo kwanza tuma sadaka namba hii 0654 060 290 kituo cha yatima.
Kabla ya kuanza porojo kwanza tuma sadaka namba hii 0654 060 290 kituo cha yatima.
is that you number,,,thanks but mbona jina ni la mwanameKabla ya kuanza porojo kwanza tuma sadaka namba hii 0654 060 290 kituo cha yatima.
Zipo za kutoshaUna pesa?
Andika Kiswahili, Kiingereza chako kibovu.so your yatima now ? tell you what i do have the money to donate by i like for it do be deliver that by myself just tell me where you're and i will have it by my own hand
usijali dadanguKabla ya kuanza porojo kwanza tuma sadaka namba hii 0654 060 290 kituo cha yatima.
kila msichana kwangu ni dada[emoji39]Unatongoza dada'ko?
nigga your too muchSoma vizuri ulicho ki quote. Una matatizo ya kusoma? Ni wapi nilisema kuwa hiyo ni namba yangu?
Punguani wahed.