Kutongoza wabibi ndio kazi?.Watanzania wavivu sana, kula kulala kulalamika ndiko mnakokujuwa.
Mungu akuweke bi Fayza na kukupa kila lenye kheir ktk maisha yako, nakuadmire sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Faiza Kwema? Ulinipa mtihani wa kukutongoza na nikafaulu kwa flying colors sasa Mbona umeniacha hewanii? Nakupenda saana Faiza wangu kipenzi niambie nifanye nini Mpenzi wangu ili uwe wangu,?
Sent from my 4009X using JamiiForums mobile app
una hela??Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Anza kwa kutoa sadaka. Nikupe namba utume sadaka yako?Nilikuwa wakwanza kuomba nyapu mpaka leo ujajibu na uzi sasa uko page ya 838 sema ulituma ukiwa na stress za Mume sasa omba admin aufunge maana mmeisha yajenga tuendelee na maisha mengine.
nataka mwanamke mwenye nauliUnataka mahari?
Umekuja mbio mbio. Cheza na FF! Khaa, ntolee shombo mie.