Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

QUOTE="FaizaFoxy, post: 30036899, member: 43551"]Una hela??[/QUOTE]
Nina mimi tu.
 
Hahahahahaha.

Jamani, I hope mnaisoma mistari ya watongozaji humu.
 
Asalam ee Malikia wa Maarifa salamu nakusalimu.
Pole na Majukumu ya kufuta pumbazo katika akili za binadamu , na kuwapa ujuzi watu waishi vyema katika Dunia hii yenye mengi na machache tusiyofahamu.

mimi ni moja kati ya wajoli waandamizi wasio changamani na kila kitu ila kitu chenye kuntu za nasaba za waungwana.

sina asili ya kusema la hata lepe la uongo, habadani asilani.
Ukweli nasema moyo umeuteka nje na pembeni sitizami. kwako nababaika kama njugu mawe kondeni . nipe Jibu nikalie kiti Sultani nimefika.

Faiza Foxy Malkia wa NGUVU#2019_20

Vina vimenikosha, sina hata pakushika
Nijuze ewe mkosha, hazina zako si taka
Ni vyema kujisafisha, kuzifanyia sadaka
Wacha kubahatisha, cha muhimu sadaka
 
Binafsi kama nitakua nimekuelewa vizuri ni hivi, FF hujatongozwa muda mrefu na una hamu na hi kitu na in fact ( kwa mtazamo wangu ) yaelekea pia hujasuguliwa muda mrefu na una hamu hiyo so kwa kua wewe ni mwanamke na huwezi kumfata mwanaume then umeamua kutumia njia hi kufikisha UJUMBE, sema tu vijana na wenyewe wa sasa hivi wazembe wazembe tu, hawajui ku decode hivi code za kina mama/wanawake
 
Binafsi kama nitakua nimekuelewa vizuri ni hivi, FF hujatongozwa muda mrefu na una hamu na hi kitu na in fact ( kwa mtazamo wangu ) yaelekea pia hujasuguliwa muda mrefu na una hamu hiyo so kwa kua wewe ni mwanamke na huwezi kumfata mwanaume then umeamua kutumia njia hi kufikisha UJUMBE, sema tu vijana na wenyewe wa sasa hivi wazembe wazembe tu, hawajui ku decode hivi code za kina mama/wanawake
Una hela wewe?
 
Una hela wewe?
Mmh hamna mama, yule jamaa mliyekua mnaongea nae kanitisha, HELA nimezirudisha POCHINI! We ni noumer, mabinti wajifunze tu kwako baaaasi, that is what I can say. Sikuwahi kudhani kama bimkubwa ni mtata hivyo, hongera sana. Nimekupenda ki vingine kabisa leo
 
Back
Top Bottom