Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

nimekaribia upo wapi mrembo.mtoto mzuri.vipi na namba yangu ya simu niiweke hapa au pm?
 
Hakuna wamkutongoza ajuza huyo maana amejinada kasoma degree ya Telecommunication canada 1982 na hyo profile picture sio yake kadownload kuuficha uzee [emoji706][emoji706]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mafundisho hayo katika Uislam kama vile hakuna kutongozana kisiri.

Kutongoza kihalali ni kupeleka posa au kutoa kusudio la kuoa kwa maharim zake mwanamke au kwa mwanamke mwenyewe akiwa mbele ya maharim zake.
Nielekeze kwenu maana mimi niko tayari kuleta posa kwenu/kwako mbele ya maharimu zako. Huyo mmeo usijali ndo maana kuna talaka
 
Nielekeze kwenu maana mimi niko tayari kuleta posa kwenu/kwako mbele ya maharimu zako. Huyo mmeo usijali ndo maana kuna talaka

Njoo Mkuranga kwa Mkanada, ndiyo kwetu utakutana nae mume wangu, kwa kuwa nipo kwenye himaya yake basi utamfahamisha yeye matakwa yako.

Karibu sana, na yupo hapa nimemuonesha ujumbe wako anasema anaomba namba yako ya simu akuelekeze vizuri, kama huna usafiri wa kufika hapa atakutumia.
 
Njoo Mkuranga kwa Mkanada, ndiyo kwetu utakutana nae mume wangu, kwa kuwa nipo kwenye himaya yake basi utamfahamisha yeye matakwa yako.

Karibu sana, na yupo hapa nimemuonesha ujumbe wako anasema anaomba namba yako ya simu akuelekeze vizuri, kama huna usafiri wa kufika hapa atakutumia.
Ningekua mimi namba ningetoa fasta[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Sent from my SM-J530F using Tapatalk
 
kuna watu wanajifanya kutoa majibu ya shombo kwa faizafoxy halafu haohao ndio wa kwanza kumuulizia akiwa hawamuoni jamiiforums, mnampenda sana faizafoxy ila mioyo yenu ya mawe haiadmit mnabaki kujibu tu oo nani akutake ajuza, mara oo faiza muislamu sana as if awe muislamu kidogo, pambavu zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
ASTAGHAFIRULAA X 3
 
Njoo Mkuranga kwa Mkanada, ndiyo kwetu utakutana nae mume wangu, kwa kuwa nipo kwenye himaya yake basi utamfahamisha yeye matakwa yako.

Karibu sana, na yupo hapa nimemuonesha ujumbe wako anasema anaomba namba yako ya simu akuelekeze vizuri, kama huna usafiri wa kufika hapa atakutumia.
Yaani furaha niliyonayo haina kifani , huko mimi nakuja hana haja ya kunitumia usafiri ninao wa kwangu. Siwezi kuja kuposa mtoto wa nguvu kama wewe halafu sitembei wakati nimekaa. Lakini swali la kwanza amekubali kukupa talaka? Nahitaji majibu ya hilo swali kabla sijafunga safari kuja huko ili nisipoteze muda . Kwa kuwa atakuwa amekupa talaka sitahijati kumwona yeye bali wewe au maharimu wako kwa sababu yeye atakuwa zilipendwa kama Diamond na Wema .Hivyo basi naomba unijibu swali langu haraka sana.
 
kuna watu wanajifanya kutoa majibu ya shombo kwa faizafoxy halafu haohao ndio wa kwanza kumuulizia akiwa hawamuoni jamiiforums, mnampenda sana faizafoxy ila mioyo yenu ya mawe haiadmit mnabaki kujibu tu oo nani akutake ajuza, mara oo faiza muislamu sana as if awe muislamu kidogo, pambavu zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba vipi mbona unaleta figisu bin kauzibe? Kumbuka wagombanao ndio wapatanawo. Wewe kama huwezi ingia kwenye ligi kaa pembeni.
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Mm hapa sema kitu
 
Back
Top Bottom