MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,848
bullshit! kuna siku nilishangaa sana, wife aliniomba nauli kwenda kazini na ilikuwa tarehe km5 hivi na ilikuwa siku 3 tu baada ya kupata mshahara wake! nilimshangaa mwili mzima. mshahara wake anafanyia nini hata nauli nimpe mimi?
Ulimuuliza kapata masaibu gani?