Mishahara ya Wake Zetu

bullshit! kuna siku nilishangaa sana, wife aliniomba nauli kwenda kazini na ilikuwa tarehe km5 hivi na ilikuwa siku 3 tu baada ya kupata mshahara wake! nilimshangaa mwili mzima. mshahara wake anafanyia nini hata nauli nimpe mimi?

Ulimuuliza kapata masaibu gani?
 
Mshara wangu una cover all Home Needs, Misosi Bills za Umeme, maji, Mlinzi nk...lakini nyie wenu mkiupata tu, Mnakumbuka shida za kwenu tu, this is not Fair
 
huwa naichukia mijadala yote ambayo huishia kuwa MEN VS WOMEN BATTLE, watu badala ya kuchangia hoja wanabaki kutetea na kupigania jinsia zao bila ya hoja za msingi!natamani siku moja tujadili haya mambo bila kusimamia ktk jinsia zetu bali hoja zenye mashiko!
 
It is a stresssfully experience, wanawake wanatofautiana try your card but as for my wife I have just decided to be a man and take care of the family, if she goes to salon with all her salary it is okay, tired. Hii midudu Ni mibinafsi.

Duh! Umemchoka ile mbaya! But mind you we are not midudus!
 
huwa naichukia mijadala yote ambayo huishia kuwa MEN VS WOMEN BATTLE, watu badala ya kuchangia hoja wanabaki kutetea na kupigania jinsia zao bila ya hoja za msingi!natamani siku moja tujadili haya mambo bila kusimamia ktk jinsia zetu bali hoja zenye mashiko!

Unadhani mtu anapoanza kuita jinsia nyingine midudu kutakuwa na hoja hapo? Kila mtu ataanza kuwaka tu. Ila ni kweli inakera, inabidi kujadili hoja na sio kutetea jinsia.
 
Mshahara wa mwanamke ni wa mwanamke, sigusi hata nishikiwe Gobore na hela ndogo ndogo unatakiwa utoe........@ least kwangu ni hivyo
 
My wife yupo transparent sana kwa mshahara wake. Mara kadhaa hunipa card nikamtolee ela kama naenda mjini. Mshahara wake unatumika kununua almost 90% ya chakula na matumizi mengine ya hom. Wa kwangu japo ni mkubwa zaidi sijui hata unaishia wapi. Sana sana nahakikisha gari yake na yangu haziishi mafuta. Zingine... mh! hata mi nashangaaga. Sijui kuna vizee vinanibukula mtaani!!!
 
shule nzuri tu kwa wenye masikio, macho na uwezo wa kusoma na uelewa. ndivyo niishivyo na wife. hajawahi niuliza napata sh. ngapa lkn anajua changu kikubwa zaidi ya mara 2 kwa chake. mimi najua take home yake kwani mimi ndo nimekabidhiwa ATM, nachukua kama ninashida natumia, namjulisha na hawezi/hajawahi kataa hata siku moja. Yeye akiwa na shida ananiambia, na tunasolve fasta kama salio langu linasoma.


may God Bless You...
nimekuombea Baraka kwa Imani

******************************
 
Mshara wangu una cover all Home Needs, Misosi Bills za Umeme, maji, Mlinzi nk...lakini nyie wenu mkiupata tu, Mnakumbuka shida za kwenu tu, this is not Fair

Not fair ya namna gani wakati unatunza vyako.Hivi kwani mke ni wa jirani?au mnashare acha ushamba .Mshahara wa mkeo ni wake unless mkubaliane kuhusu kusaidiana tena pale ambapo wako hautoshi.Otherwise mawasiliano na mipango kwenye nyumba yenu muhimu
 
kuna siku nilichoka pale Ancle wangu alipoambiawa na Anti kwamba hana simu yeye akauliza kwamba mshahara wako unafanyia nini nilichoka kabisa Mpaka leo suala la kuoa nalifikiria Demu niliyekua naye akaanza naye kunipiga vizinga vingi kumbe amechukua majukumu ya baba yake ati anamsomesha mdogo wake mi nikachoka alivyoona kuwa sikati salio kama mategemeo yake akapunguza huduma mpaka leo mwezi watatu sasa
 
umeona enh?mi ndo hapo wanaponikera sikatai kuchangia majukumu lakini na wao wanatubore tunapowaachia loop hole tu,wengi wao wanamalizia hela kwa vishtobe,sasa mi nijibane nisinunue maorzon suit yangu navaa mikplini,ili tumalizie mjengo ye pesa yako kugawa offer bar,akha mwenzangu!si bora nikuchune mie wa halali!ahahahahhahahhah leo nitabondwaje hapa! BADILI TABIA uniokoe yakinizidi ahahhahhah!

nitakutetea snowhite, msome na MadameX hapo juu yaani kaongea kweoi tupu......

Achilia mbali kuhonga,
Wanawake chungu nzima wanajitoa kwa familia zao, wanaanza na mume wakiwa wanalalia mkeka, anatoa kipato chake kwa familia...... Wakipata magari akaunti nono, mjengo mwanaume yanaanza kulia mbwata, mke anakuwa hafai anatafuta wanaojua kutinda nyusi......
Ndo maana leo hii wanawake wanabana za kwao, akitumia ni kwa mtumizi madogo ya nyumbani na nyingine anainvesti kivyake...... Hakuna mtu anayetaka jasho lake litumiwe kwa nyumba ndogo

wanaume mtaisoma, ubandidu mmetufundisha wenyewe
 
Last edited by a moderator:
kuna siku nilichoka pale Ancle wangu alipoambiawa na Anti kwamba hana simu yeye akauliza kwamba mshahara wako unafanyia nini nilichoka kabisa Mpaka leo suala la kuoa nalifikiria Demu niliyekua naye akaanza naye kunipiga vizinga vingi kumbe amechukua majukumu ya baba yake ati anamsomesha mdogo wake mi nikachoka alivyoona kuwa sikati salio kama mategemeo yake akapunguza huduma mpaka leo mwezi watatu sasa

usioe kabisa
 
Yake ni yetu, yangu ni yangu lol.....acheni kukimbia majukumu kiaina

Mimi ni Mwanamke na hapa Nakataa wazi bila kificho.
Wanawake tunapenda sana kudai usawa, kwa nini isiwe na upande wa majukumu ya kifamilia tunazingatia huo usawa?
Familia sio ya Mme, kama mna watoto, Baba anaitwa "Baba X" na "Mama X". Kwa nini swala la kuhudumia familia, au kufanya shughuli za maendelea kwa ajili yenu na familia kwa ujumla liwe la Baba peke yake?
Wote mnahusika kuchangia maendelea ya familia yenu.
 
My wife yupo transparent sana kwa mshahara wake. Mara kadhaa hunipa card nikamtolee ela kama naenda mjini. Mshahara wake unatumika kununua almost 90% ya chakula na matumizi mengine ya hom. Wa kwangu japo ni mkubwa zaidi sijui hata unaishia wapi. Sana sana nahakikisha gari yake na yangu haziishi mafuta. Zingine... mh! hata mi nashangaaga. Sijui kuna vizee vinanibukula mtaani!!!

jikague mkuu, hunywi? Hutoi ofa? Huna nyumba ndogo? Hujengi? Si hodari wa kuchangia hadi kipaimara?
 
Kiukweli kama unataka kuonyesha wewe ni kidume ndani ya nyumba achana na habari ya mshahara wa waifu, mambo ya urembo yote nunua mwanaume. then tafuta namana ya kufanya mshahara wake uingizwe kwenye income ya familia bila Kumlazimisha. Mwanaume lazime utafute hela ya familia (biblia) assume kama hana kazi, akichangia sawa. SIO UNATOA POVU KUDAI HUO MSHIKO
kipato ni mazungumzo na makubaliano, Mke anaweza kukubali au kukataa, inategemea na mnavyokubaliana, kumbuka wewe ni kichwa cha familia, (hii kimjini mjini)

(kiuhalisia ) inazegemea vila mtakavyopanga na jinsi mlivyojijenga toka mwanzo......

(ushuhuda)
1. Mnaweza kuamua mama atunze familia na mshahara wa baba ukatumika kwenye ujenzi (ila hutegemea nani ana kioato kikubwa)

2. Au mkagawana majukumu kuchangia sawa kwenye shughuli za maendeleo

3. Au kwa wanaumme ambao hawataki kutumia pesa za wake zao kutegemea na male ego zao, mshahara wa mke hajihusishi nao, atajua jinsi ya kuutumia ashimdwe mwenyewe..

4. Kuna ambao mambo makubwa hufanya mume kama ujenzi, ada, misosi, nk na mambo madogo ambayo huwa ni mengi ndani ya nyumba na yanayokula fedha kidogo kidogo kwa wingi anacover mke kama nguo za watoto, mume hg, matatizo
ya ndugu wa mke na mume, sukari, chumvi, sokoni, mboga, umeme, maji, hg, mlinzi, shambaboy, n.k

ZINGATIO
pangeni vile mpendavyo na mnavyoona inawafaa, kutegemeana na malengo yenu na kipato cha kila mmoja na majukumu ya pande zote mbili... Ila Kumbuka mpange muwezavyo bado jukumu la kumpendezesha mkeo ni lako, hela ya saluni, perfume nk loh......uanaume kazi...
 
Wanaume wa sasa hivi nawatema puuuuuuuuu! Ila wadada/wamama wenzangu, mwana umleavyo,.............. !
 
bullshit! kuna siku nilishangaa sana, wife aliniomba nauli kwenda kazini na ilikuwa tarehe km5 hivi na ilikuwa siku 3 tu baada ya kupata mshahara wake! nilimshangaa mwili mzima. mshahara wake anafanyia nini hata nauli nimpe mimi?

ila wanaume wa siku hizi...ajabu kweli

mwanaume wa ukweli anaona fahari kumuhudumia wife, sio kulalamikalalamika...si ndio maana yeye ni wife na wewe ni mume?..hivi mkeo akiomba kulipwa kumnyonyesha mwanao utaweza kumlipa? ni mara ngapi mke wako anakesha usiku kuhudumia watoto wakati wewe umechapa usingizi ( na asubuhi anatakiwa aende kazini km kawaida)...ukiambiwa ulipie hizo night utaweza?

wewe na wife wote mnafanya kazi, lakini jioni wife anawahi kuangalia wtt na kuandaa mazingira mazuri hm lkn ww mume unapitia baa kupoteza muda, ukifika hm kila k2 kipo kwenye order...lkn hata kumhudumia pia unashindwa(japo huwezi lipa fadhila ya wife anayokufanyia ww na watt)

pamoja na majukumu yoooooooooooote ya wife magumu, bado tena unambebesha mzigo wa financial obligation, huoni aibu?
nafikiri kwa mtindo huu sasa itabidi wanawake tubadilike, kama ni kugawana majukumu basi tuanze na malezi ya wtt,(hata martenity kwa zamu, mume abaki hm kulea mm aende kazini) jikoni, usafi n.k..majukumu ya nyumba sio hela tu..........TUGAWANE SAWA KILA K2...muone km hamjapiga goti wenyewe kuomba yaishe
 
It is a stresssfully experience, wanawake wanatofautiana try your card but as for my wife I have just decided to be a man and take care of the family, if she goes to salon with all her salary it is okay, tired. Hii midudu Ni mibinafsi


QUOTE=Mkusa;4696862]Wakuu,
Hebu na tu shee Experience zenu especialy nyie wenye wake wanaofanya Kazi namna Pato linavyokuwa Distributed Home.
Nataka ku Draw Bonge moja la Conclusion hapa Kwangu
[/QUOTE]

duuhh kweli umetuchoka...na una hasira nae..ebu mwombe mshee bills ili umwite bnadamu not mdudu
 
Back
Top Bottom