hihihiiiii mbona unataka kunibana? leo tunaongelea wanaume bana....
natamani nianze kuleeleze babu lakini muda umeshaenda sana!kesho utakuta majibu yangu asubuhi!
Hahahahahahahh...
Umechelewa kwa bed?
Hebu wahi bwana, tumechoka sana kuamua kesi na kushauri kusikoisha!
MadameX,Mmmh kila mtu anaplan zake.... kwakweli naheshimu hilo. Mimi kwakweli kuchanga na mume kwenye mjengo ni kitu ambacho I will do in writing na any case warithi au wamiliki wanakuwa ni watoto wetu tu. Wanawake wengi weshalizwa, at the time of divorce or death, linatoka rundo la watoto na wote wanahaki kurithi ambapo wewe umetia jasho lako.
Pesa ya mwanamke hua ni chungu sana, Wabinafsi sana hawa viumbe....
wewe mie nshajua unachotaka sema...
sasa mie nakwambieni nyote...mwanamke mwema ni yule ambaye wala hana shida na pato lake ...achilia ATM card lazima mwisho wa mwezi ibaki kwa mume.. mwanamke anabaki na kiasi cha mboga na saloon tu..
Ikumbukwe kuwa mme ndio kichwa cha nyumba....
tuacheni tujenge familia.
MadameX,
Naomba ukasome vizuri sheria ya ndoa au omba wataalamu wakusaidie kutafsiri. Kwa mujibu wa sheria hiyo, mtoto wa nje ya ndoa hawezi kurithi mali ya ndoa labda kama baba kamwandikia urithi kwenye wosia.
Na pia ujue kuwa mali za ndoa ni za mume na mke 50 kwa 50%.
Kwa hiyo hoja zako hapa zimetoka nje kidogo!
Wewe inaonekana huwajui wanawake. Hakuna watu rahisi wa kula pesa zao kama wanawake. Bahati mbaya watu wengi hawayajui hayo.
Yaani ukimpa imani na kumhandle vizuri....mshahara wote na hata kama kapata deal anakubwagia kitandani uamue cha kufanyia!.. Anaweza pia kuchukua mkopo na kukukabidhi pesa yote.
Tatizo ni kwamba watu hawajui button sahihi ya kubonyeza, wanaishia kubonyeza bonyeza na mwisho wanafanya permanent disconnection ya network!
hapa tumeconclude nini wapendwa?
ulijuwaje? hebu wafundishe bana......hata mie mwanzoni ilkuwa hivyo hivyo nikipata chochote naleta hm chote, namkabidhi...ila jamaa hakujuwa button sahihi akabonyezabonyeza, mwisho aka disconnect kabisa....sasa ivi anasikilizia kwenye bomba tu....
Basi sawa, sasa napenda uniheshimu, unipende ukae nyumbani UA langu la nyumbani, sio kutangatanga na kutaniana na watu maofisini. Hapo sitakuwa na neno. Mpenzi wangu tulia nyumbani nikutunze kama nilivyoahidi!
Kumbe tatizo ni taniana na watu ofisini!Nikikaa nyumbani nitakuwa nafikiria kizee bwana,nivumilie tu mwenzio niwe naenda kazini basi.!
Sawa nenda kazini mpenzi wangu , mke wangu mpendwa, lakini proceeds from that kazi should come to the same kapu for family benefit! Nami proceeds from kazi yangu nitaweka kwenye kapu moja. La sivyo ukae nyumbani unipikie, nisile vyakula vilivyopikwa na msichana wa kazi.
bora babu dc umekuja hapa..........umesaidia sana walainisha snowhite na BADILI TABIA ...na tunashinda kesi hii
Mishahara yenu! Basi mrudi kwenu mkale mishahara yenu!
kipato cha mume ni cha wote including watoto na cha mke ni cha mke
Kwani ulipomuoa mkeo ilikuwa ni kwa lengo la kula mshahara wake? Simama kwenye nafasi yako kama mume. Kumbuka "Mume atalima na kutafuta chakula cha familia yake kwa tabu. Mke atazaa kwa uchungu" Weraaaaaaaaaaaaa
Basi ukae uzae, sasa mambo ya kazi tena yanatoka wapi. Kaa unizalie watoto, nami nitafute chakula na matunzo yote.
Hapo father house ndiyo tunapotofautiana.Mshahara wangu ni wa saloon na kwakuwa mwenyewe unaona nimeweka kucha ndefu,nitaishije bila ya msichana wa kazi?Your understanding please!
Sawa nitakaa na kuzaa. Najua utatafuta chakula. Najaribu kukusaidia kupata pesa ya kununulia mahitaji yangu madogo madogo kama pamba, wanja, gari ya kuendea clinic, bangili na vitu vinavyofanana na hivyo. Sasa usizitolee macho pesa zangu za mshahara!