marrykate
JF-Expert Member
- Mar 4, 2012
- 733
- 442
hii sred hii inaonyesha ndoa nyingi hazikujengwa na mapenzi, wengine wameoana ili apate huduma, hta kunyonyesha mtu anataka alipwe, kweli kabisa ni mtoto wako au wajirani anayenyonyeshwa? hata kupika chakula utakachokula mwenyewe nayo unaona unamfanyia mtu favour, makubwa haya