Mkuu, matatizo gani?! Hao wastaafu si nao ni raia wa Tanganyika na Zanzibar? Raia wenzao kule dodoma wanakula viwavi jeshi... Halafu kwa hili hakuna haja wala sababu ya kujificha kwenye kivuli cha Lowassa, kama unakumbuka wakati wa kampeni aliahidi kuwa kama angeshinda angeushusha mshahara wa rais hadi milioni mbili kwa mwezi.Mnataka kuleta matatizo nchini. Viongozi wakuu wotee, kuanzia Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu. Majenerali wote wanapata mafao yao kwa mwenzi ni 80% ya aliyeko kazini. Kama ni hivyo wote hao wapunguziwe mafao yao. Ni pamoja Na Lowassa. Kama mnadhani ni marais tu
Mkuu hivi unajua kuhesabu hela.??
Mkuu hivi unajua kuhesabu hela.??
Elimu Elimu Elimu! Tangu lini tshs 368 milion x 3 = 1. 104 trilion? Jibu sahihi ni 1.104 billion. Elimu elimu elimu!
Hiyo ml 460 nina mashaka nayo. Hesabu kidogo, 80% ya ml 460 ni ml 368. Chukua ml 368 zidisha kwa marais watatu wastaafu walio hai unapata 1.104 trilioni, kisha jumlisha na ml 460 ya rais aliyepo madarakani unapata 1.564 trilion. Makusanyo ya mwezi yakizidi sana ni Trilioni 1.3, ambayo iko chini ya mishahara ya marais hao. Je, makusanyo yote ndiyo kusema huishia kwenye kulipa mishahara ya marais? Acheni usengerema.
Duh.. Kweli hesabu zako ni za darasa la kwanza!! Yani ukitoka milioni unaingia trilioni, tehe teh..Kwa hiyo hesabu za kujumlisha huzifahamu mkuu?. Pitia tena bandiko langu, na wadau waliosema mshahara wa Rais ni milioni 460 kwa mwezi. Hivyo nimetumia hesabu ya darasa la kwanza tu kufikia hitimisho hilo hapo juu.
Usiendekeze sana kutoka povu wakati hujui hata unachoongea!! Kwa taarifa yako Tanzania iko katika top 10 ya marais wenye mishahara minono!! Not so sure ni kiasi gani lakini nakumbuka si 400+ mil.. Fanya utafiti ndio uje ukanushe!!Angalau hiyo ina sound kuliko hao mapopoma wanaodai rais kwa mwezi anakula milioni 400+.
Usiendekeze sana kutoka povu wakati hujui hata unachoongea!! Kwa taarifa yako Tanzania iko katika top 10 ya marais wenye mishahara minono!! Not so sure ni kiasi gani lakini nakumbuka si 400+ mil.. Fanya utafiti ndio uje ukanushe!!
Hiyo makala niliisoma mwaka jana sikumbuki ni jarida gani (sio la Tanzania) lakini nahisi laweza kuwa African Ventures Magazine..Wapi naweza kupata taarifa sahihi kuhusu mshahara wa rais wa Tanzania?
Kwa mwenye kumbukumbu nzuri, Zitto aliwahi kutaja mshahara wa Waziri Mkuu.. Tunaweza kuanzia hapo kukokotoa!!Kama sijakosea..... hesabu hizo za mishahara ya kutunga zilikanushwa na serikali
Hiyo makala niliisoma mwaka jana sikumbuki ni jarida gani (sio la Tanzania) lakini nahisi laweza kuwa African Ventures Magazine..
Unajua haya majarida mpaka wanachapa habari kama ile wanakuwa na sources za uhakika.. Na kuhusu ikulu kukanusha sishangai maana ndio utamaduni walio jijengea .Hiyo makala ilikanushwa na ikulu ya Kikwete.
Kwa hiyo bado mshahara wa rais wa Tanzania haujulikani.
Unajua haya majarida mpaka wanachapa habari kama ile wanakuwa na sources za uhakika.. Na kuhusu ikulu kukanusha sishangai maana ndio utamaduni walio jijengea .
Hii itaongezaje kipato chako?Wapunguziwe tena hata nusu ya hiyo wanayoipata maana wengi wao ni mizigo tu kwasasa. huyu wa awamu ya tatu yeye ni mitusi tu kila wakati, sasa watu kama hao wanini ktk jamii? wanaifilisi nchi tu. Wanachokifanya ni kukumbatia madhambi tu!, ndicho wananchokiweza. mm naona kama wanataka wawapunguzie acha wapunguze sana tu!, Wanasingizia wanamshauri Rais wa sasa: wakati vipindi vyao wamevuruga. Wapunguze tu hiyo mishahara maana hayo ni MAJIPU MENGINE yanayolitafuna taifa letu!!!! thenkyuuuu
Hivi ulipwe mshahara wa Tzs 400M na overtime? Kwanza kwa level ya raisi kuna kitu kinaitwa overtime?Nilipata kuwa somewhere nikapata kuliweka hilo mbele ya wadau nikiwaambia mshahara wa prezida tz ni zaidi ya mil400 mbali na posho mbali na overtime hapo... Huwezi kuamini walin'gaka wengine wakaniambia kiasi hicho hakipo raisi analipwa mil arobaini na tano.
Hiyo ml 460 nina mashaka nayo. Hesabu kidogo, 80% ya ml 460 ni ml 368. Chukua ml 368 zidisha kwa marais watatu wastaafu walio hai unapata 1.104 trilioni, kisha jumlisha na ml 460 ya rais aliyepo madarakani unapata 1.564 trilion. Makusanyo ya mwezi yakizidi sana ni Trilioni 1.3, ambayo iko chini ya mishahara ya marais hao. Je, makusanyo yote ndiyo kusema huishia kwenye kulipa mishahara ya marais? Acheni usengerema.
Hahahahahahahahaahahaaa
Unashangaa nini sasa? Afrika kuna mambo mengi sana ya ajabu na ya kutisha tuko mbali na dunia ya wenzetu wanayoishi.... Mimi huwa sishangai kabisa pale ninaposikia vitu visivyoniingia akilini ktk serikali za kiafrika na Afrika kwa ujumla... Nakuambia kabisa Afrika ina safari ndefu sana ya ukombozi wa kifikra kutoka hapa tulipo mpaka kuwafikia wenzetu wa dunia hii.Hivi ulipwe mshahara wa Tzs 400M na overtime? Kwanza kwa level ya raisi kuna kitu kinaitwa overtime?