Kweli Mathematics ni tatizo kwa walio wengi Tz,hivi kweli milioni 400 Mara tatu unapata 1.104 Trilioni!????Hiyo ml 460 nina mashaka nayo. Hesabu kidogo, 80% ya ml 460 ni ml 368. Chukua ml 368 zidisha kwa marais watatu wastaafu walio hai unapata 1.104 trilioni, kisha jumlisha na ml 460 ya rais aliyepo madarakani unapata 1.564 trilion. Makusanyo ya mwezi yakizidi sana ni Trilioni 1.3, ambayo iko chini ya mishahara ya marais hao. Je, makusanyo yote ndiyo kusema huishia kwenye kulipa mishahara ya marais? Acheni usengerema.
Formula hiyo ya kulipa marais wastaafu iliwekwa kwa mategemeo kwamba punde rais akiwa madarakani aongoze nchi vizuri bila kujitumbukiza katika ufisadi kwa kuwa ana uhakiki marupurupu yake baada ya uongozi yanamuwezesha kuishi kwa raha mustarehe. La kujiuliza ni je marais hao wamefanya kilichotarajiwa?
Nawewe ni Ripoti ipi ya TRA inasema makusanyo ni Milioni mia nane?Hata kama hujasoma hesabu ama hisabati, tumia akili ndogo tu hii ifuatayo. Kwa mjibu wa TRA, kuna miezi makusanyo huishia milioni 800, ukitoa milioni 400+ ya rais aliye madarakani tu, unapata salio la milion 300+, hapo hujawalipa marais wastaafu, mawaziri wakuu wastaafu, waziri mkuu aliye madarakani na wastaafu wengine, je maendeleo ndiyo kusema yatategemea misaada tu?
Duuh..Kama ni hivyo basi Magu naye ni JIPU aisee460 milion kwa mwezi hapo kula kulala afya bure na malupulupu bdo
hakuna kitu kama hiki...hivho kiasi si faida ya bakhresa kwamwezi!!umechanganya bilioni na milioniHata kama hujasoma hesabu ama hisabati, tumia akili ndogo tu hii ifuatayo. Kwa mjibu wa TRA, kuna miezi makusanyo huishia milioni 800, ukitoa milioni 400+ ya rais aliye madarakani tu, unapata salio la milion 300+, hapo hujawalipa marais wastaafu, mawaziri wakuu wastaafu, waziri mkuu aliye madarakani na wastaafu wengine, je maendeleo ndiyo kusema yatategemea misaada tu?
Acha utani bana460 milion kwa mwezi hapo kula kulala afya bure na malupulupu bdo
Ukitaka Kujua Mshahara Wa Mtu Unaweka Wazi Kwanza Wa Kwako.Piga Picha Salary Slip Yako Weka Hapa Halafu Ulizia Mishahara Ya Wengine.Watu hata hamjui mshahara wa rais ni kiasi gani halafu bado mnajadili mishahara ya marais wastaafu kupunguzwa!
Marais wastaafu wanalipwa mishahara? Kama wanalipwa, wanalipwa shilingi ngapi?
Hiyo ml 460 nina mashaka nayo. Hesabu kidogo, 80% ya ml 460 ni ml 368. Chukua ml 368 zidisha kwa marais watatu wastaafu walio hai unapata 1.104 trilioni, kisha jumlisha na ml 460 ya rais aliyepo madarakani unapata 1.564 trilion. Makusanyo ya mwezi yakizidi sana ni Trilioni 1.3, ambayo iko chini ya mishahara ya marais hao. Je, makusanyo yote ndiyo kusema huishia kwenye kulipa mishahara ya marais? Acheni usengerema.
Ukitaka Kujua Mshahara Wa Mtu Unaweka Wazi Kwanza Wa Kwako.Piga Picha Salary Slip Yako Weka Hapa Halafu Ulizia Mishahara Ya Wengine.
Hata kama hujasoma hesabu ama hisabati, tumia akili ndogo tu hii ifuatayo. Kwa mjibu wa TRA, kuna miezi makusanyo huishia milioni 800, ukitoa milioni 400+ ya rais aliye madarakani tu, unapata salio la milion 300+, hapo
hujawalipa marais wastaafu, mawaziri wakuu wastaafu, waziri mkuu aliye
madarakani na wastaafu wengine, je maendeleo ndiyo kusema yatategemea misaada tu?
Unachokataa ni nini wewe kenge? umekariri makusanyo tu, unadhani serikali inaishi kwa makusanyo? kama unakataa hawalipwi hivyo Wewe hapo ulipo unapata huduma gani nzuri ya jamii?, kila kitu Ni hovyo nchi nzima sasa pesa zinaenda wapi? na bado bajeti ya nchi ni tegemezi nyie wa Lumumba ubongo wenu umejaa tope.Hiyo ml 460 nina mashaka nayo. Hesabu kidogo, 80% ya ml 460 ni ml 368. Chukua ml 368 zidisha kwa marais watatu wastaafu walio hai unapata 1.104 trilioni, kisha jumlisha na ml 460 ya rais aliyepo madarakani unapata 1.564 trilion. Makusanyo ya mwezi yakizidi sana ni Trilioni 1.3, ambayo iko chini ya mishahara ya marais hao. Je, makusanyo yote ndiyo kusema huishia kwenye kulipa mishahara ya marais? Acheni usengerema.
Mmmmh! Are you sure?Hiyo ml 460 nina mashaka nayo. Hesabu kidogo, 80% ya ml 460 ni ml 368. Chukua ml 368 zidisha kwa marais watatu wastaafu walio hai unapata 1.104 trilioni, kisha jumlisha na ml 460 ya rais aliyepo madarakani unapata 1.564 trilion. Makusanyo ya mwezi yakizidi sana ni Trilioni 1.3, ambayo iko chini ya mishahara ya marais hao. Je, makusanyo yote ndiyo kusema huishia kwenye kulipa mishahara ya marais? Acheni usengerema.
Mnataka kuleta matatizo nchini. Viongozi wakuu wotee, kuanzia Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu. Majenerali wote wanapata mafao yao kwa mwenzi ni 80% ya aliyeko kazini. Kama ni hivyo wote hao wapunguziwe mafao yao. Ni pamoja Na Lowassa. Kama mnadhani ni marais tu
Kujua Mshahara wa Rais ni kosa la Jinai Tanzania. Gazeti la Majira waliwahi kutoa Gazeti lao lilifungiwa.Kwani mshahara wa prez ni sh ngapi?
Kama ni hivyo Magufuli apunguze mshahara wake kwa 50% atakuwa ameshakata mzizi wa fitina.Wanalipwa 80 percent ya chochote anachopata Magufuli. Hii ni pamoja na mishahara, Magari, Matibabu etc
Rudi while boss.Hiyo ml 460 nina mashaka nayo. Hesabu kidogo, 80% ya ml 460 ni ml 368. Chukua ml 368 zidisha kwa marais watatu wastaafu walio hai unapata 1.104 trilioni, kisha jumlisha na ml 460 ya rais aliyepo madarakani unapata 1.564 trilion. Makusanyo ya mwezi yakizidi sana ni Trilioni 1.3, ambayo iko chini ya mishahara ya marais hao. Je, makusanyo yote ndiyo kusema huishia kwenye kulipa mishahara ya marais? Acheni usengerema.