ww unahitaji maelezo ya kina. Ujue unapopunguza fungu la mtu mmoja na fungu hilo ukalielekeza mahala pengine kwa matumizi mengine unakuwa umesaidia watu wengine kwa njia moja ama nyingine. "Multiplier effect"Hii itaongezaje kipato chako?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
[emoji35] [emoji35] [emoji35]Wanalipwa 80 percent ya chochote anachopata Magufuli. Hii ni pamoja na mishahara, Magari, Matibabu etc
Wanamshauri kufanya yale waliyofanya na mnalipia ushauri huo.
Hata kama hujasoma hesabu ama hisabati, tumia akili ndogo tu hii ifuatayo. Kwa mjibu wa TRA, kuna miezi makusanyo huishia milioni 800, ukitoa milioni 400+ ya rais aliye madarakani tu, unapata salio la milion 300+, hapo hujawalipa marais wastaafu, mawaziri wakuu wastaafu, waziri mkuu aliye madarakani na wastaafu wengine, je maendeleo ndiyo kusema yatategemea misaada tu?
.....Umekurupuka....Hesabu zako za Kayumba....! milioni....then billion...halaf ndo trillion...ebu rekebisha
Itakuwa anamwogopa lowasaKikwete amefika Msasani juzi,ana walinzi wengi sana.