Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,511
- 151,778
Hata rais wa Marekani halipwi hivyo.460 milion kwa mwezi hapo kula kulala afya bure na malupulupu bdo
Angalia sources zako.
Hata rais wa Marekani halipwi hivyo.460 milion kwa mwezi hapo kula kulala afya bure na malupulupu bdo
Kuingia kwa Kikwete Madarakani na jinsi alivyotoka madarakani ni tofauti kabisa kuna wakati mwishoni wa utawala wake alikua akivaa bullet proofs ,huenda anajua alichokifanya ndio maana yupo na msururu wa walinziKikwete amefika Msasani juzi,ana walinzi wengi sana.
Mkuu mimi nashauri siyo tuu ipunguzwe bali iondolewe ili walipwe pension kama wastaafu wengine vinginevyo hii itakuwa double standard.Wapunguziwe tena hata nusu ya hiyo wanayoipata maana wengi wao ni mizigo tu kwasasa. huyu wa awamu ya tatu yeye ni mitusi tu kila wakati, sasa watu kama hao wanini ktk jamii? wanaifilisi nchi tu. Wanachokifanya ni kukumbatia madhambi tu!, ndicho wananchokiweza. mm naona kama wanataka wawapunguzie acha wapunguze sana tu!, Wanasingizia wanamshauri Rais wa sasa: wakati vipindi vyao wamevuruga. Wapunguze tu hiyo mishahara maana hayo ni MAJIPU MENGINE yanayolitafuna taifa letu!!!! thenkyuuuu
Mkuu, nadhani Tanzania iko katika kiwango kibaya sana cha uelewa na sidhani kama jitihada za Mama Ndalichako zitasaidia kwa hali hii. Cha kusikitisha hata huyo dr. aliyetuletea division 5 anaendelea kupokea pension nene!mkubwa hiyo trilion umeipateje,au naona vibaya.hizo ni hesabu za darasa la ngapi mkuu.
naomba msaada pls
Bottom line, tais halipwi milioni hizo kwa mwezi.Hesabu zako mkuu hebu rudi shuleni...ukitoka millions lazima ije billions sio trillions
Kumbe ceo wa nhc anamzidi presida kwa mshahara!?million 35 kwa mwezi.marais 2x80%x35,000,000+35,000,000=91,000,000
huwezi kupata data za ukweli maana nchi za kiafrika maraisi wapo kiwizi wizi kwa ajili ya masilahi yao,kwa nchi zilizo endelea mishahara ya viongozi wakubwa inajulikanaKumbe ceo wa nhc anamzidi presida kwa mshahara!?
Ajitokeze mwenye data za kweli atujuze hawa waajiriwa wetu wanatukamua kiasi gani kutufanyia kazi zetu!
bro Nina swaliUlgomvi wangu mimi ni kuhusu wale watu wanaoitwa "advisor"". Ukitazama utaona Barak Obama ana mshauri kuhusu uchumi,kuhusu sayansi,kuhusu kuyapiga vita madawa ya kulevya,etc. Washauri wa mambo tofauti. Wako 20,30 au zaidi. Rais hawrzi kufanya kila kitu. Ni hawa washauri,wakichukua hela nyingi bila kutoa ushauri,hapo ndio taifa linaenda mrama.
Wapunguziwe tena hata nusu ya hiyo wanayoipata maana wengi wao ni mizigo tu kwasasa. huyu wa awamu ya tatu yeye ni mitusi tu kila wakati, sasa watu kama hao wanini ktk jamii? wanaifilisi nchi tu. Wanachokifanya ni kukumbatia madhambi tu!, ndicho wananchokiweza. mm naona kama wanataka wawapunguzie acha wapunguze sana tu!, Wanasingizia wanamshauri Rais wa sasa: wakati vipindi vyao wamevuruga. Wapunguze tu hiyo mishahara maana hayo ni MAJIPU MENGINE yanayolitafuna taifa letu!!!! thenkyuuuu
368,000,000x3= 1,104,000,000+460,000,000=1,564,000,000 kwa maneno ni bilioni moja na milioni mia tano na sitini na nneHiyo ml 460 nina mashaka nayo. Hesabu kidogo, 80% ya ml 460 ni ml 368. Chukua ml 368 zidisha kwa marais watatu wastaafu walio hai unapata 1.104 trilioni, kisha jumlisha na ml 460 ya rais aliyepo madarakani unapata 1.564 trilion. Makusanyo ya mwezi yakizidi sana ni Trilioni 1.3, ambayo iko chini ya mishahara ya marais hao. Je, makusanyo yote ndiyo kusema huishia kwenye kulipa mishahara ya marais? Acheni usengerema.
mbona unacheka binamu?Ha ha ha ha
Mkuu kuwa mpole, umetumia namba IPI kupata hiyo 1.564 Trillion!?[/QUOTmwalimu wako wa hesabu ndivyo alivyokufundisha hivyo.? back 2school afu uje ujumlishe tena
Mkuu nenda kaedit laa sivyo utawapoteza wengi mapopomaKweli ujinga mzigo, ndiyo maana huo mshahara nikawa naona unagoma kichwani, kumbe mimi ndiye nimeleta upopoma wangu humu ndani. Duuh
Wewe sio popoma, tatizo Mkuu umekurupuka. Pole sana!Kweli ujinga mzigo, ndiyo maana huo mshahara nikawa naona unagoma kichwani, kumbe mimi ndiye nimeleta upopoma wangu humu ndani. Duuh
Na watoto wetu mashuleni wanafeli hivi hivi Mkuu! Baada ya kutuliza kichwa mwanafunzi anakurupuka tu......Umekurupuka....Hesabu zako za Kayumba....! milioni....then billion...halaf ndo trillion...ebu rekebisha
Ndio maana Ben matusi kwa kwenda mbele.460 milion kwa mwezi hapo kula kulala afya bure na malupulupu bdo
Usipende kutafuniwa, ndo ninyi ninyi shuleni kazi ni kupiga chabo tuu. Mwenzako kakosea kupiga hesabu na wewe unamuunga mkono!Shukrani kwa Ufafanuzi,nilishangaa hii inaingia akilini kweli?
Kwa kutopenda elimu akaamua kumchagua magufuli ili pia apewe bora elimu tena bure kabisa!Elimu Elimu Elimu! Tangu lini tshs 368 milion x 3 = 1. 104 trilion? Jibu sahihi ni 1.104 billion. Elimu elimu elimu!