It's too much.Huwa sipata logic,ni ujinga wa aina fulani tu unaotembea.Kwani marais wastahafu wana tofauti gani na watumishi wengine wa serikali,Wao ni watu zaidi?Wana roho zaidi ya moja?Wanakula zaidi?Kwa nini formula ile ile inayotumika kwa watumishi wengine isitumike kwao?Sielewi kwa kweli.Kama kuna mpango wa kuwapunguzia sawa tu,they are getting too much afterall.
Wanalipwa 80 percent ya chochote anachopata Magufuli. Hii ni pamoja na mishahara, Magari, Matibabu etc