We unakomoa na kijimshahara cha utumishi na akina bakhera wafanyeje. Kweli masikini akipata....kuna kademu kalikua kananizingua...
ngoja nkatigo pesa mzigo wa maana kama hakajaja kanatambaa apa!!!
[HASHTAG]#MaguFuli[/HASHTAG] oyeeee.e.ee.ee.
We unakomoa na kijimshahara cha utumishi na akina bakhera wafanyeje. Kweli masikini akipata....kuna kademu kalikua kananizingua...
ngoja nkatigo pesa mzigo wa maana kama hakajaja kanatambaa apa!!!
[HASHTAG]#MaguFuli[/HASHTAG] oyeeee.e.ee.ee.
Safi.Ndio mimi nipo stanbic bank
Mmmh . Mbona wewe Ndo umesema imooomkuu ata sijui ni nini haah aaaaa haa
Pale Bungeni tunaweza tukawa na wangapi?kweli kila penye watanzania 4 kuna vichaa watatu!
Acha uongo we jamaaMshahara tayari, naona ongezeko la 9000 tu jaman daaaah hii nchi watumishi hasa walimu tunaonewa sana
Tayari mshahara ndugu, itakuwa wanaupload mdogo mdogoAcha uongo we jamaa
Mbona hatuoni kitu
NMB kuna nini mkuuKama kuna mtu anamini kuwa rahisi hana mapepo aangalie NMB.
Watu wanalia njaa unasema fungu la kumi? Waombee wabarikiwe wawe na kipato wapate mahari pa kutoa hilo fungu la kumi.Msisahau kuniletea fungu la kumi la mshahara hapa kanisani pangu.
Mimi nipo wizara ya afya, nilipokua naajiriwa 2009 niliambiwa kwamba naweza kufungua account benk yoyote ninayotaka. Mimi kipindi hicho nilijua kwamba lazima ufungue NMB lakini nikaambiwa kwamba naweza kufungua benk yoyote ndio nikaenda stanbic. Kwahiyo mimi mshahara ukiingia benk ndio inanitumia msg hakuna mambo ya ku cheki salio.Safi.
Mimi walinikataliaga account yangu ya FNB wakanipa options ya benki kama tano au sita vile huku hiyo yako haikuwepo kwenye list.
Mimi nipo wizara ya afya, nilipokua naajiriwa 2009 niliambiwa kwamba naweza kufungua account benk yoyote ninayotaka. Mimi kipindi hicho nilijua kwamba lazima ufungue NMB lakini nikaambiwa kwamba naweza kufungua benk yoyote ndio nikaenda stanbic. Kwahiyo mimi mshahara ukiingia benk ndio inanitumia msg hakuna mambo ya ku cheki salio.