August_Shao
Senior Member
- Nov 23, 2007
- 164
- 48
Kuna mabadililiko? Au ndo mwendo ule ule wa soundCheki mkuu mbona tayari
Kuna mabadililiko? Au ndo mwendo ule ule wa soundCheki mkuu mbona tayari
haswaa, na wahenga walisema mchawi anamjua mchawi mwenzakekweli kila penye watanzania 4 kuna vichaa watatu!
mkuu ata sijui ni nini haah aaaaa haaNinitena kiongozi ??
Ndio mimi nipo stanbic bankSerikali hii siku hizi inaruhu watumishi wake kuwa na account za malipo nje ya zile benki pendwa?
Jwtz washasahau kitambo kwani tangu tarehe 21 kitu kilisomaUkiona imepita tar 22 na mshahara hakuna basi majority ya civil servants wanachanganyikiwa,kwa sasa wapo kimya maana hawaamini wanachokiona mpaka leo serikali imezila kutoa mshahara heeee heeee.
Unasema uongo nini kwamba mshahara bado au kuhusu nyongeza? Basi subiri wa kwako uone kwa macho yako. Kama bado kwako utakua umetumbuliwa.Wapi wewe acha uongo!
FactDarasani mnaanza wengi mnamaliza shule ya msingi.
Wengine wanafurahia kuingia sekondari
Wengine wanabaki na uchungu mtaani.
Sekondari mnamamaliza pamoja
Mnaachana tena
Wengine wanasherehekea kuingia kidato cha 5 huku wengine wanapukutikia mtaani.
Kidato cha sita mnamaliza wote hali inakuwa ileile kuna wanaoshereheka kwa kuingia chuo kikuu na wengine wanarudi mtaani.
Sasa mziki unakuja hapa!
La saba alipotoka alikomaa na kuzoea uraiani mwingine akafanya kazi za ajabu baadae anafanikiwa kimaisha anamuajiri 4m4 huku mambo yakiwa yanamnyookea wa 4m4 amefungua biashara yake imekua anamuajiri wa 4m6 na chuo kikuu.
Degree holder anakuja kuomba kazi kwa la saba, akifika hospitali anahudumiwa na nesi la 7 au 4m4,anaomba msaada kwa mtendaji kata 4m4,bila barua ya mtendaji hapati baadhi ya huduma muhimu pamoja na PhD zake.
Hii ndio mgawanyiko wa hali kimaisha.
Usimlaumu mwanao au nduguyo kwa kufeli shule bali mlaumu kama akifeli maisha.
Nawakilisha
Bado haujatokakuna kademu kalikua kananizingua...
ngoja nkatigo pesa mzigo wa maana kama hakajaja kanatambaa apa!!!
[HASHTAG]#MaguFuli[/HASHTAG] oyeeee.e.ee.ee.
Madaraja yaliyosimamishwa vp
Ndio hakuna cha mshahara wala nini? wengine kusema uongo ndo furaha yao!Bado haujatoka