DDaraja gani mkuu?
DDaraja gani mkuu?
Inategemea na basic salary yako! Mshahara haujapanda, Bali hiyo ni nyongeza ya mwaka! Mshahara ukipanda hubadilisha vianzia mshahara kwa kila ngazi! Kwa sasa vianzia mshahara viko palepale! Ukipandisha mshahara kima cha chini hupanda! Kwa sasa kima cha chini kipo pale pale!Ongezeko elfu 13000 na mapoint
Asante sana! Hilo ni la msingi kabisa. Binafsi sijawahi kuacha kutoa fungu la kumi au zaka! Tunachoomba tu makuhani wetu itendeeni haki madhabahu kwa kuhubiri wokovu kamili! Siyo unakula fungu la kumi halafu unamtelekeza mama mchungaji na kuzamia kwenye nyumba ndogo! Tunayaona kwa baadhi huku mitaani!Msisahau kuleta fungu la kumi kanisani.
Hilo watext washirika wako tu kama unao! Kwa hao una haki! Sisi wengine tukumbushe tu kuwapelekea wachungaji wetu wapendwa ibada ifuatayo!Msisahau kuniletea fungu la kumi la mshahara hapa kanisani pangu.
Inabidi ukisubirishe kwa miezi miwili!Wameongeza chenji ambayo hata kweny ATM haitoki
Mbona WaPo walioongezewa Kwa kupitia madaraja kiongozi .Alafu we jamaa muongo,ulijifanya paymaster wa JPM mara eeh wameongeza kwenye madaraja.
baada ya makato haifiki hiyo niliyotaja hapo?6,220.35/-
kwa maneno-shilingi elfu sita miambili ishirini na senti thelathini na tano.
hahaha natania nisije pigwa mawe hapa.
Si kweli ndugu,labda wajeda!!!Mbona WaPo walioongezewa Kwa kupitia madaraja kiongozi .
Wajeda wamepatajeSasa sijui anataka wote tuwe wajeda ndo atatuheshimu mana ni fearless kwetu
Buku 7000 inapendeza.ameongeza ngapi
Anawaogopa kweli walikohoa tu siku moja mwezi uliofuata aliwaingizia za vinywaji.Wajeda wamepataje