Soma vizuri uzi acha kurukarukaSijawahi kwenda bank kuangalia mshahara kabla ya tarehe 25 na kila nikienda tarehe hiyo Huwa naukuta.
Nakushauri na wewe uwe unaenda kuangalia tarehe hiyo au ikiwezekana mwisho wa mwezi kabisa 30 au 31 ili usipoukuta tarehe hizo ujue kuna tatizo.
Kudeka ni tabia mbaya
MKuu upoHahaaah nanga wa kwata a.k.a ltn usu wa madoso katika ubora wako
Kichwa chako hakina uwezo wa kuelewa nilichoandika tuliaMada zisizokua na kichwa wala miguu kama hoja za vyama vilee ambavyo husubiri matukio ya serikali yanavyo trend ili nao wayabebe kama agenda zao rasmi.
It's non-sense kabisa.Kichwa chako hakina uwezo wa kuelewa nilichoandika tulia
Unachekesha sana we jamaaa.....!
Ingekuwa ni kupeleka mbona wangejuta....
Wanakukata juu kwa juuu huko huko kama kodi vile!
kwakweli wangejuta!Nipo mkuu vipi za ckuMKuu upo