Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Mshahara bado bana watu tuu wanajitahid kuwafanya serikali ili watoe mapema salary
Bado bank gani? Kuna baadhi ya watu wa nmb wanasema tayari. Sasa wewe huenda upo Mkombozi bank unafikiri wote wapo huko.

Ninavyosikia hakuna annual increments lakini kwa waliokuwa promoted mambo yako poa
 
Bado bank gani? Kuna baadhi ya watu wa nmb wanasema tayari. Sasa wewe huenda upo Mkombozi bank unafikiri wote wapo huko.

Ninavyosikia hakuna annual increments lakini kwa waliokuwa promoted mambo yako poa
Aaaaaahhhh ngoja nami nihakikishe
 
Wadau weng ktk uzi huu hawana amani na wanastress za kufa mtu. "KISA MSHAHARA" kama unajua kusoma mawazo ya watu kwa njisi wanavyochangia. Mhuu...! Mpaka huruma.
 
Wadau weng ktk uzi huu hawana amani na wanastress za kufa mtu. "KISA MSHAHARA" kama unajua kusoma mawazo ya watu kwa njisi wanavyochangia. Mhuu...! Mpaka huruma.
 
Bado bank gani? Kuna baadhi ya watu wa nmb wanasema tayari. Sasa wewe huenda upo Mkombozi bank unafikiri wote wapo huko.

Ninavyosikia hakuna annual increments lakini kwa waliokuwa promoted mambo yako poa
Mmepata mishahara mmenyamaza? Next December mtalianzisha tena!
 
Back
Top Bottom