Miradi ya Maprofesa wa Bongo

Miradi ya Maprofesa wa Bongo

2.BAR(UDSM,OUT,UDOM,SAUT,DUCE,MUCE ) hawa wametishaaa ..... mwendo wa K-vant wakija class wanazinguaaa
 
Acha kuharibu reputation za watu Bure. Professor gani alistaafu UDSM Hana hata nyumba?. Uzuri Maprofesa wenyewe wachache, maana Kama kustaafu Ina maana alikuwa full profesa ambao kwa Sasa kwa idadi ni 66 kwa mujibu wa serikali. Tuache speculations na kushishia hadhi uprofesa.
Maprofesa hao 66 wana mchango gani kwa taifa?

Kuna Tafiti zao zozote zilizo leta mabadiliko makubwa hapa nchini?

Zaidi ya uchawa na kujipendekeza kwa wanasiasa kutafuta Teuzi.

Maprofesa wa Tanzania ni njaa kali, Useless kwa taifa na wasaka post.
 
1.Ng'ombe wawili wa maziwa(SUA)
2.BAR(UDSM,OUT,UDOM,SAUT,DUCE,MUCE )
3.lodge (Mzumbe,UDOM)
4.Mboga mboga nusu heka (SUA)
5.Bwawa la samaki(SUA)
6.Stationary-vitini vinapatikana hapo na vitabu vyake(vyuo vyote)
7.Daladala (UDSM,OUT,SUA)
8.Saluni(DUCE,UDOM,MAKUMIRA,MIPANGO DOM,MZUMBE)
9.SHULE (Huyu amejitutumua sana ila usimamizi sio mzuri)

Ongeza na wewe unazo zikumbuka
Sawa umeeleweka...

Ehe ulitaka wamiliki nini sasa

Ova
 
1.Ng'ombe wawili wa maziwa(SUA)
2.BAR(UDSM,OUT,UDOM,SAUT,DUCE,MUCE )
3.lodge (Mzumbe,UDOM)
4.Mboga mboga nusu heka (SUA)
5.Bwawa la samaki(SUA)
6.Stationary-vitini vinapatikana hapo na vitabu vyake(vyuo vyote)
7.Daladala (UDSM,OUT,SUA)
8.Saluni(DUCE,UDOM,MAKUMIRA,MIPANGO DOM,MZUMBE)
9.SHULE (Huyu amejitutumua sana ila usimamizi sio mzuri)

Ongeza na wewe unazo zikumbuka

10. Supplementary za kulipia
 
Mimi siku zote msimamo wangu ni huu. Nchi yetu tujilaumu sisi wananachi wenyewe kwa kila baya lililopo. Hawa maprofesa wanafanya nini kubadilisha hii hali kama siyo kujikomba kwa viongozi huku wakiwa wamejawa na woga mkuu. Juzi kuna watu alitaka kufanya kongamano la katiba kwenye chuo fulani Mwanza. Profesa Mahalu na usomi wake (nadhani ni sheria) alikuwafukuza huku akisema wanamharibia. Kwa kifupi ni kuwa wananchi pamoja na hao wasomi hatujitambui. Hakuna serikali duniani inayojali wananchi wake bila hao wananchi kuisimamia.
Maproffessor wanafundisha na kufanya consultation kila siku, wanashindwa kufanya tafiti zenye tija kwa ukosefu wa vifaa na pesa, serikali imeitelekeza sayansi na teknolojia na hilo ni kosa mkubwa sana la kiufundi. Wamebaki omba omba kwa kuandika proposals kila kukicha kwa mabeberu ambao nao wana interest zao.
Huyo aliyezuia kongamano unamlaumu bure kwani nchi imeshikwa na waliomweka hapo, na ndio waamuzi wa kila kitu, wanasiasa wanajifanya wajuaji, miungu watu na we ye kiburi.
Nadhani anaongelea mapato yote sio mshahara. Kuna maproff wanafundisha vyuo zaidi ya kimoja. So inawezekana.
Sasa huo si sehemu ya mshahara na huwa ni kwa kipindi fulani tu, wapo wenye project za mabilioni na wapo waliochoka haswa kama huna mradi au consultation work. Tatizo tunajichanganya kufikiri Prof akifanya biashara itakuwa sana si kweli
 
Kwa wanaojitambua (nchi) maprofesa wanajikita kwenye mambo ya utafiti na utaalam. Huwezi kukuta wanafanya vi-miradi njaa kama hapa kwetu.
Hata hapa wanafanya utafiti sana tu! Hebu nenda utafute ukweli kuhusu hii project pale SUA.
 

Attachments

  • Screenshot_20231007-153435_Chrome.jpg
    Screenshot_20231007-153435_Chrome.jpg
    93.2 KB · Views: 2
Maproffessor wanafundisha na kufanya consultation kila siku, wanashindwa kufanya tafiti zenye tija kwa ukosefu wa vifaa na pesa, serikali imeitelekeza sayansi na teknolojia na hilo ni kosa mkubwa sana la kiufundi. Wamebaki omba omba kwa kuandika proposals kila kukicha kwa mabeberu ambao nao wana interest zao.
Huyo aliyezuia kongamano unamlaumu bure kwani nchi imeshikwa na waliomweka hapo, na ndio waamuzi wa kila kitu, wanasiasa wanajifanya wajuaji, miungu watu na we ye kiburi.

Sasa huo si sehemu ya mshahara na huwa ni kwa kipindi fulani tu, wapo wenye project za mabilioni na wapo waliochoka haswa kama huna mradi au consultation work. Tatizo tunajichanganya kufikiri Prof akifanya biashara itakuwa sana si kweli
Infact mimi silaumu mtu mmoja mmoja bali nalaumu kwa ujumla japo angeweza ku-react kisomi zaidi na siyo kama robot lililoamrishwa.
 
Back
Top Bottom