econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 22,138
- 32,716
Hivi ukuwa profisa ndo kujua kila kitu?,
Hapana, unakuwa umebobea kwenye eneo Fulani la taaluma yako. Kuna vigezo vya kupewa uprof. Vingi Sana ndio maana Tanzania mpaka muda huu full professors ni 66 tu.