Miradi ya Maprofesa wa Bongo

Miradi ya Maprofesa wa Bongo

Hivi ukuwa profisa ndo kujua kila kitu?,

Hapana, unakuwa umebobea kwenye eneo Fulani la taaluma yako. Kuna vigezo vya kupewa uprof. Vingi Sana ndio maana Tanzania mpaka muda huu full professors ni 66 tu.
 
1.Ng'ombe wawili wa maziwa(SUA)
2.BAR(UDSM,OUT,UDOM,SAUT,DUCE,MUCE )
3.lodge (Mzumbe,UDOM)
4.Mboga mboga nusu heka (SUA)
5.Bwawa la samaki(SUA)
6.Stationary-vitini vinapatikana hapo na vitabu vyake(vyuo vyote)
7.Daladala (UDSM,OUT,SUA)
8.Saluni(DUCE,UDOM,MAKUMIRA,MIPANGO DOM,MZUMBE)
9.SHULE (Huyu amejitutumua sana ila usimamizi sio mzuri)

Ongeza na wewe unazo zikumbuka

Tatizo kubwa sana tuko nalo sisi watanzania, unaanza kuandika vitu ambavyo wewe mwenyewe umehadithiwa.

But kwa taarifa yako most of hawa watu unaowaandika hapa ni consultants na wanapiga fedha nyingi sana huku.
 
Ndio maana biashara zinawashinda. Waendelee kuishi kwa hiyo mishahara

Biashara ipi? Usiongee tu kwa kuongea. Nitajie kati ya hao Maprofesa 66 nani kashindwa biashara. Tatizo lenu mnataka kila mtu awe mfanya biashara. Ila Maprofesa wanaohangaika muhimbili kuweka figo au pale cancer institute hamuwaoni. Tuache uongo.
 
Unajua watu mnachekesha sana....

Nataka unitajie huyo mfanyabiashara anayepata faida ya million 72 kwa mwezi...siongelei mauzo mimi...naongelea faida kama faida yaan ushatoa kodi zote....

Tena professor wana semina nyingi sana na unakuta hapo anafundisha kipindi kimoja kimoja vyuo vitano na kila kipindi au lecture ni 1m per month..

Hapo hujahesabu research na wanafamilia wake kunufaika na bima, makazi nk...



Unajua bongo tuna akili ndogo sana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huna unalojua wewe,

Nenda hapo udsm profesa Hadi anastaafu Hana hata nyumba na wanataka kuongezewa contract. Usipate tabu Nenda hapo udsm.



Kuhusu biashara kama huamini Kuna biashara zinaingiza profit margin ya milion 70 Kwa mwezi Bado wewe ni mtoto mdogo kujua haya
 
Mbona hiyo faida ndogo sana, kuna wafanya biashara hulipa mishahara ya wafanyakazi wake zaidi ya milioni 70, sasa kama haitoki kwenye faida analipa kutoka kwenye mtaji.
Je unadhani akishalipa mishahara yeye hubaki na fedha chini ya milion 70?

Ndugu yangu kuna watu wamewwkeza vya kutosha, hebu fikilia mtu mmoja anamiliki gari 300 za kazi, na miradi mingine mikubwa alafu unaongelea faida ya milioni 70, ni hela ndogo sana

Ila tukirudi kwenye mada profesa si mfanya biashara, hatupasi kuwafananisha.
Achana na huyo mjinga Hana analojua.


Mtu kama Mapembelo au Simba wa Bahari Kwa cargo anayofunga Kwa mwezi eti akose milion 70.


Huu si ukichaa
 
Sasa milion 6 Kwa mwaka si milion 72.


Kuna wafanyabiashara hiyo Hela ni ya mwezi tu.

Sio kweli, hiyo millioni SITA anapokea senior lecturer sio prof. Prof anapesa nyingi zaidi. Na ujue Maprofesa wamegawanyika, Kuna Associate na full professors
 
Acha uongo mkuu, Hakuna mshahara wa hivyo kwa Prof hapa bongo

Nadhani anaongelea mapato yote sio mshahara. Kuna maproff wanafundisha vyuo zaidi ya kimoja. So inawezekana.
 
Mimi siku zote msimamo wangu ni huu. Nchi yetu tujilaumu sisi wananachi wenyewe kwa kila baya lililopo. Hawa maprofesa wanafanya nini kubadilisha hii hali kama siyo kujikomba kwa viongozi huku wakiwa wamejawa na woga mkuu. Juzi kuna watu alitaka kufanya kongamano la katiba kwenye chuo fulani Mwanza. Profesa Mahalu na usomi wake (nadhani ni sheria) alikuwafukuza huku akisema wanamharibia. Kwa kifupi ni kuwa wananchi pamoja na hao wasomi hatujitambui. Hakuna serikali duniani inayojali wananchi wake bila hao wananchi kuisimamia.

Una uhakika na unachosema? Unajua process za kufanya symposium kwenye chuo kikuu?. Kuna procedures nyingi na Wala hazimhusu VC wa chuo
 
Dogo ni mpuuzi anaongea asichokijua! Hakuna mtu anapiga life kama ma professor. Tena hata huo mshahara uliomtajia ni wa lecturer wa kawaida senior lecturers wako 10m na kuendelea!
Duuhh huu mshahara wa Tangu lini?
 
Huna unalojua wewe,

Nenda hapo udsm profesa Hadi anastaafu Hana hata nyumba na wanataka kuongezewa contract. Usipate tabu Nenda hapo udsm.



Kuhusu biashara kama huamini Kuna biashara zinaingiza profit margin ya milion 70 Kwa mwezi Bado wewe ni mtoto mdogo kujua haya

Acha kuharibu reputation za watu Bure. Professor gani alistaafu UDSM Hana hata nyumba?. Uzuri Maprofesa wenyewe wachache, maana Kama kustaafu Ina maana alikuwa full profesa ambao kwa Sasa kwa idadi ni 66 kwa mujibu wa serikali. Tuache speculations na kushishia hadhi uprofesa.
 
Back
Top Bottom