econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 22,138
- 32,716
Elimu ya Tanzania ni Useless.
Kila mtu njaa kali, kwanzia mwalimu wa chekechea hadi profesa wa chuo.
Profesa ana njaa?. Basi hakuna mwenye ahueni. Shida tunaongea out of emotions. Siku ukifikia ngazi ya uprof hautaongea hivyo



nafikili you are just being sarcastic, Mkuu wa wilaya mwenyewe hali 10m ije kuwa lecturer (mwalimu aliyechangamka) milioni kumi (kwa heshima yake nimeamua kuiandika kwa maneno) ki bongo bongo ni pesa ndefu sana wanaoila ni watu wazito hasa na daily routine zao hazina pilikapilika mara kuwahi kipindi, mara kusahihisha mitihani yani wanaipata kilaini sana unless ni engineers