Miradi ya Maprofesa wa Bongo

Miradi ya Maprofesa wa Bongo

Elimu ya Tanzania ni Useless.

Kila mtu njaa kali, kwanzia mwalimu wa chekechea hadi profesa wa chuo.

Profesa ana njaa?. Basi hakuna mwenye ahueni. Shida tunaongea out of emotions. Siku ukifikia ngazi ya uprof hautaongea hivyo
 
Professor wanafundisha vyuo vitano kwa wakati mmoja ? Kumbe tuna uhaba wa professors hivi ? Ni mkoa gani huo Mkuu vyuo vitano vipo karibu hadi professor akafundishe kote. Lazima wana pesa sana

Sio mkoa. Kwa mfano Prof wa UDSM anafundisha UDOm master, SAUT masters na Makumira Masters na University of Iringa anasimamia Phd dissertations.
 
Profesa ana njaa?. Basi hakuna mwenye ahueni. Shida tunaongea out of emotions. Siku ukifikia ngazi ya uprof hautaongea hivyo
Tena sio njaa tu, Njaa kali.

Wanajikomba jikomba kwa wanasiasa kutafuta Teuzi.
 
Kumbe ni kweli kuwa Mwalimu ni Mwalimu hata akiwa wa chuo kikuu asemavyo Mpwayungu Village?!
 
Halafu Maprofesa wengi wa bongo wameungaunga elimu zao ndio maana wengine hawaeleweki.

Wengine walianzia kuwa Walimu wa Sekondari, imagine?!

Wakaungaunga weee hivyo hivyo mpaka kuwa Walimu wa vyuo.
 
1.Ng'ombe wawili wa maziwa(SUA)
2.BAR(UDSM,OUT,UDOM,SAUT,DUCE,MUCE )
3.lodge (Mzumbe,UDOM)
4.Mboga mboga nusu heka (SUA)
5.Bwawa la samaki(SUA)
6.Stationary-vitini vinapatikana hapo na vitabu vyake(vyuo vyote)
7.Daladala (UDSM,OUT,SUA)
8.Saluni(DUCE,UDOM,MAKUMIRA,MIPANGO DOM,MZUMBE)
9.SHULE (Huyu amejitutumua sana ila usimamizi sio mzuri)

Ongeza na wewe unazo zikumbuka
Acha dharau
 
Halafu Maprofesa wengi wa bongo wameungaunga elimu zao ndio maana wengine hawaeleweki.

Wengine walianzia kuwa Walimu wa Sekondari, imagine?!

Wakaungaunga weee hivyo hivyo mpaka kuwa Walimu wa vyuo.
Kwani ni kosa ?
 
Shida hamuujui uprofesa. Kila mtu anaongea ya kwake ilimradi kuonesha uprofesa hauna maana. Mpaka ufike uprofesa sio kazi rahisi, ndio maana kwa Sasa Tanzania maprofesa hawazidi 66 ( full professor).
Hao maprofesa 66 ni USELESS kwa Taifa.

Hakuna mchango wao wowote au tafiti zao zilizo saidia Taifa.

Ni dana dana tu na tafiti uchwara.
 
Lakini kuhusu kufanya hizo biashara mbuzi binafsi naona sio tatizo sababu something is better than nothing.

Mbona Bharesa anauza ice creams za shilingi 500/- @ lakini hamshangai?

Ukiweza kupata kipato kidogo kidogo kutoka different streams ukija kuweka pamoja inakuwa si haba.
 
nafikili you are just being sarcastic, Mkuu wa wilaya mwenyewe hali 10m ije kuwa lecturer (mwalimu aliyechangamka) milioni kumi (kwa heshima yake nimeamua kuiandika kwa maneno) ki bongo bongo ni pesa ndefu sana wanaoila ni watu wazito hasa na daily routine zao hazina pilikapilika mara kuwahi kipindi, mara kusahihisha mitihani yani wanaipata kilaini sana unless ni engineers
Sasa wewe unafanya reference ya professor wa Mwalimu JK Nyerere University pale Kivukoni halafu unataka kumlinganisha ma Prof wa SUA?
 
Hao maprofesa 66 ni USELESS kwa Taifa.

Hakuna mchango wao wowote au tafiti zao zilizo saidia Taifa.

Ni dana dana tu na tafiti uchwara.



Wengine wanatumika na wanasiasa kina prof bana sijui yuko wapi siku hizi.
 
Hao maprofesa 66 ni USELESS kwa Taifa.

Hakuna mchango wao wowote au tafiti zao zilizo saidia Taifa.

Ni dana dana tu na tafiti uchwara.
Huna unachojua mkuu! Kuna maprof pale SUA wanapiga kazi za hatari sana! Miradi yao ni ya madolali tu!
 
Huna unachojua mkuu! Kuna maprof pale SUA wanapiga kazi za hatari sana! Miradi yao ni ya madolali tu!
Naomba nieleze Tafiti za maprofesa wa Tanzania zilizo saidia mabadiliko makubwa katika nyanja za kimaisha ya watanzania kiujumla.

Angalau kwenye nyanja za kiuchumi, kielimu na Afya.
 
Back
Top Bottom