macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,309
- 57,078
Tafiti zinazoishia kwenye makabati? Anyways kosa ni la viongozi wa nchi ila nao huwa wanajishusha mno.Hata hapa wanafanya utafiti sana tu! Hebu nenda utafute ukweli kuhusu hii project pale SUA.


