Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,430
- 90,863
Inasikitisha sanaHio no 9. Kuna Doctor kauza shule, mwingine ni profesa nae ilimshinda miaka 5 iliopita akawapa kanisa. Yaani wachungaji na mapadri wanaweza kuendesha shule kuliko maptofesa.
Inasikitisha sanaHio no 9. Kuna Doctor kauza shule, mwingine ni profesa nae ilimshinda miaka 5 iliopita akawapa kanisa. Yaani wachungaji na mapadri wanaweza kuendesha shule kuliko maptofesa.
Professor wanafundisha vyuo vitano kwa wakati mmoja ? Kumbe tuna uhaba wa professors hivi ? Ni mkoa gani huo Mkuu vyuo vitano vipo karibu hadi professor akafundishe kote. Lazima wana pesa sanaUnajua watu mnachekesha sana....
Nataka unitajie huyo mfanyabiashara anayepata faida ya million 72 kwa mwezi...siongelei mauzo mimi...naongelea faida kama faida yaan ushatoa kodi zote....
Tena professor wana semina nyingi sana na unakuta hapo anafundisha kipindi kimoja kimoja vyuo vitano na kila kipindi au lecture ni 1m per month..
Hapo hujahesabu research na wanafamilia wake kunufaika na bima, makazi nk...
Unajua bongo tuna akili ndogo sana
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Basi itabidi siku moja nifike hapo SUA nijionee,pia huwa ninatamani sana kufika hapo nipate moja na mbili kuhusu kilimo na ufugajiKaka tembea uone,SUA hakuna prof masikini nakuambia wale jamaa wanamiradi wanaandika na proposal na yanafadhiliwa vizuri
Umesema vyema mkuuHiyo ni nature ya Binadamu wengi wa fani hoyo, they always seek comfort, kwa mfano, una miaka 40+ na nyumba moja ya kawaida tu na gari moja au mbili second hand au fourth hand hasa hizi IST, Harrier nk, huna mradi wowote wa kuingiza pesa nzuri yani una maisha ya kawaida wakati wewe ni mpenda misifa na kujikweza unaamini kwanza una akili sana na uliamini Elimu ingekufanya uwe bora kuliko binadamu wote.
Tatizo linaanzia hapo sasa ndio unaanza kuwa na vijitabia kama hivo vya kutaka lazima watu wakuite prof, lazima watu wakunyenyekee, unataka ku prove kila mara kwamba wewe ndio wewe (delusion) apparently this is a mental illness ( alimalizia hivo mlevi mmoja nilikuwa naye hapa kijiweni)
Basi itabidi siku moja nifike hapo SUA nijionee,pia huwa ninatamani sana kufika hapo nipate moja na mbili kuhusu kilimo na ufugaji
si kweli, ni wachache waliotoboa kupitia miradi. Wengi maisha yao ni ya kawaida na wengine maisha yao ni magumu zaidi baada ya kustaafu wanahangaika na contracts kwenye private universities. huu ni ukweli niliouona baada ya kufanya nao kazi zaidi ya miaka 10Kaka tembea uone,SUA hakuna prof masikini nakuambia wale jamaa wanamiradi wanaandika na proposal na yanafadhiliwa vizuri
Hawa jamaa ni watu wa ajabu pale UD wengine ukienda ofisi zao kuwaulizia usipotaja mwanzoni title ya Prof...
Ukasema Mr...
Wanakukaushia. Jamaa wana mambo ya ajabu sana. Wanapenda sana sifa na kunyenyekewa
Mbona hiyo faida ndogo sana, kuna wafanya biashara hulipa mishahara ya wafanyakazi wake zaidi ya milioni 70, sasa kama haitoki kwenye faida analipa kutoka kwenye mtaji.Unajua watu mnachekesha sana....
Nataka unitajie huyo mfanyabiashara anayepata faida ya million 72 kwa mwezi...siongelei mauzo mimi...naongelea faida kama faida yaan ushatoa kodi zote....
Tena professor wana semina nyingi sana na unakuta hapo anafundisha kipindi kimoja kimoja vyuo vitano na kila kipindi au lecture ni 1m per month..
Hapo hujahesabu research na wanafamilia wake kunufaika na bima, makazi nk...
Unajua bongo tuna akili ndogo sana
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Miaka hii vyuo kuna vitini1.Ng'ombe wawili wa maziwa(SUA)
2.BAR(UDSM,OUT,UDOM,SAUT,DUCE,MUCE )
3.lodge (Mzumbe,UDOM)
4.Mboga mboga nusu heka (SUA)
5.Bwawa la samaki(SUA)
6.Stationary-vitini vinapatikana hapo na vitabu vyake(vyuo vyote)
7.Daladala (UDSM,OUT,SUA)
8.Saluni(DUCE,UDOM,MAKUMIRA,MIPANGO DOM,MZUMBE)
9.SHULE (Huyu amejitutumua sana ila usimamizi sio mzuri)
Ongeza na wewe unazo zikumbuka
Mchawi kibunda mkuu
Kuna madogo wafanyabiashara wa kichaga na wa kikinga hapo Kariakoo akaunti zao zina mkwanja mrefu kuliko hata hao maprofesa
Hiyo title ya Profesa hata isikutishe
Uprofesa bila pesa ni ubwege
Anaona kashushwa hadhiUmenikmbsha clinical officer mmoja aliitwa nesi na mgonjwa aliwaka balaa
Mshahara wa proff ni kiasi gani
Hawa jamaa ni watu wa ajabu pale UD wengine ukienda ofisi zao kuwaulizia usipotaja mwanzoni title ya Prof...
Ukasema Mr...
Wanakukaushia. Jamaa wana mambo ya ajabu sana. Wanapenda sana sifa na kunyenyekewa
Miaka hii vyuo kuna vitini