Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,177
- 111,096
Umenikumbusha mbali sana mwali....🤣class mate sio kwa cheko hilo
Umenikumbusha mbali sana mwali....🤣class mate sio kwa cheko hilo
Tukumbushe sio mbayaUmenikumbusha mbali sana mwali....🤣
Napenda mishangaziAfisa kipenyo labda wa ny.olo.
Mie mshangazi mmoja tu niko zangu nasubilie el nino nipambane nayo.
Mishangazi tupo tu hatuna wikiend wala wiki daysNapenda mishangazi
Nifungulie PMMishangazi tupo tu hatuna wikiend wala wiki days
Kikaangoni ilikuwepo hiyo miaka ya nyuma, watu wanaishia kuuliza maswali ya umeoa au umeolewaHabari za leo?
Wapendwa ningependa kuwe na utaratibu wa member mmoja wa Jf labda kila alhamisi achaguliwe ili members wa humu tuwe free kumuuliza chochote na ajibu postive. Ishu binafsi ambazo zinaweza kumuanika uhusika wake anaweza asizijibu.
NINGEPENDELEA TUANZE NA HAO TAJWA HAPO JUU MAANA BINAFSI HUWA NAJIULIZA SANA KUHUSU HAWA JAMAA.
Nikufungulie kuna nn???? shida zako na ushauri viishie hapa.Nifungulie PM
Mbona zamani kuna jamaa alikuwa ana host hizo interviews zilikuwa poa tu.Interviews hazitoisha kwa amani.
Mtu atafukuliwa makaburi mwisho wa siku ngumi zitalika.
Tusubiri tuoneMbona zamani kuna jamaa alikuwa ana host hizo interviews zilikuwa poa tu.