Kabla ya kulaumu wanaume jitathmini kwanza, usikute wewe ndio tatizo la kutemwa! Angalia unakosea wapi, rekebisha makosa hayo utapata mwanaume utakayejiweka daimaWanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
itachina!pole shoshti kwa kuchelewa kuwang'amua hawa viumbe wabaya. Wenzio tulishawang'amua siku nyingi tukaamua kuwa watawa.
Ilimradi asivunje sheria ya nchisema sana mdomo ni mali yako.
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
unadekezwa au unajidekeza?
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
Haya ni madhara ya kugawa sana. Hufikia hatua unajichoka mwenyewe hadi unakuwa na kichefuchefu. Unapogawa uwe unabakiza kidogo. Ukiwa mama huruma lazima ujisikie empty na kuwaona vibaya wale unaowagawia. Punguza kugawa hutawachoka!Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
ni pm hutanichoka
mwenzio alienda kukutana naye pale steer akarudi nduki....