Mimi tena wanaume basi!

Mimi tena wanaume basi!

he he he he he he he he he he!!!!!!Ngoja kwanza!! Yamekukukuta eeeeeeeeeeehhhhhh!!!! Unachezea dunia!!!!! Pole sana. Uliowapata ni matapeli. Usikate tamaa na kuvunjika moyo. Dunia ina mitihani mingi, tena migumu kwelikweli kuliko ya mathematics, physics and biology. Pole sana mdogo wangu.


Heeeee heeeeeee jamani huyu ni Mwanamalundi? Hata siamini ...... !!
 
Last edited by a moderator:
So ww 2 hata mm bhana wanaume wanw days hawapendeki usanii 2 alafu wababaishaji jamani ah mpaka nawachukia hv embu niwaulize huwa mnapata nn mkisha 20ng0pea kua mna2penda wakti ukwel ni kwamba m2 humpendi kiukweli unataka umuharibie 2 life yake alafu musepe ila pole mama kwa sasa cool down endesha yako ukiwa free
 
Poleni sana wahanga wakutendwa na kuachwa na wapenzi wetu.. Mungu awatie nguvu!
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
pole sana nadhan unabahati mbaya tu,maana wote sio waongo labda Mtumaini Mungu atakusaidia wa kukufaa katika maisha,usikatee tamaa
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

Pole sana, mara una vigezo unatafuta mchumba.... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/433466-nina-vigezo-vyote.html

Mara unatafuta wa kula nae bata..... https://www.jamiiforums.com/love-connect/436201-natafuta-mwanaume-wa-kula-nae-bata-kesho.html

Kisha ukaomba msaada kwa kutokufika kilimani..... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/438702-sijawahi-kufika-kileleni.html

Leo tena unazuka na jipya. Haya wana MMU kazi kwenu!
 
Wanawake tunapenda kusingizia wanaume sana wakati wanawake wengi huwa hawajui makosa yao au kuwa wanakitu/tabia inakimbiza wanaume hao.

hata walio kwenye ndoa wanasema wanaume wakati wao wake ndio chanzo cha matatizo na hawajijui.

jaribu kujiuliza inakuwaje na ni bhada ya nini, na wewe pia uwa unaongea nini kwao.
kuna wasichana wengine wanaongea sanaaaaaaa, wengine wanataka bana wanaume kwa kuwafatilia hata baada ya kujuana siku moja tu, wengine wana story nyingi zinazoweza subiri baadae, hata za familia yangu hivi ndugu vile.

usikate tamaa

Hakika wewe mzuri kweli
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

Sio rahisi kunena km unavyofikiria........nakuhakikishia haya ni maneno tu........they will never exist........kila siku ukimwi upo watu wanakufa, watu wanaacha familia zao kwa ukimwi............lakini haijalishi, bado wanaendelea kugegedana km vile hakuna hatari yoyote mbele yao...........hv unajua binadamu anaogopa sana kufa? lakini kifo cha ukimwi hakiwatishi tena why sababu pale kati usipimie.........baadae usishau kuja kushuhudia tena usaliti wa maamuzi yako!!!!!

Ushauri:
Kuna wanaume wema sana zaidi ya unavyofikiri tena wapo wengi sana tu, na wanakutafuta usiku na mchana maana na wewe pia ni mwema(naamini hivyo) ila changamoto zake zipo mbili tu:

1.wewe mwenyewe.........uelewa wako na upambanuaji wako wa masuala ya kimahusiano kwa kina, uwe na clear focus.
2.yeye mwanaume.......uelewa na upambanuaji wake wa masuala ya kimahusiano kwa kina, awe na clear focus.

Pole sana ila elewa kuwa nafasi yako muhimu SANA bado ipo wazi katika ulimwengu wa mapenzi, ipo wazi na hakuna binadamu yeyote mwenye mamlaka ya kujaza, ni wewe mwenyewe tu wa kujaza!!!!

JITAFAKARI UPYA na futilia mbali maamuzi yako....endelea kupambana hadi tone la mwisho, wanaume wengi wema wanakutafuta sana ni vile hujui tu!!!!!
 
Pole sana, mara una vigezo unatafuta mchumba.... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/433466-nina-vigezo-vyote.html

Mara unatafuta wa kula nae bata..... https://www.jamiiforums.com/love-connect/436201-natafuta-mwanaume-wa-kula-nae-bata-kesho.html

Kisha ukaomba msaada kwa kutokufika kilimani..... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/438702-sijawahi-kufika-kileleni.html

Leo tena unazuka na jipya. Haya wana MMU kazi kwenu!

Aaaa aaah aaaah aaah!!!! Kumbe anatuchezea akili zetu. Akome kabisa kutuchezea chezea kama watoto wadogo. Wengine hatujapata wajukuu, asitugeuze kama babu au bibi yake. akome kabisa.
 
Na muvi letu la mwezi huu kuhusu bibie Jenu ndio limeishia hapa...

20081212105558.jpg


cc: snowhite
 
Last edited by a moderator:
Pole sana, mara una vigezo unatafuta mchumba.... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/433466-nina-vigezo-vyote.html

Mara unatafuta wa kula nae bata..... https://www.jamiiforums.com/love-connect/436201-natafuta-mwanaume-wa-kula-nae-bata-kesho.html

Kisha ukaomba msaada kwa kutokufika kilimani..... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/438702-sijawahi-kufika-kileleni.html

Leo tena unazuka na jipya. Haya wana MMU kazi kwenu!

Anaonekana yupo desperate sana.......ila atapoa tu!!!!!
 
Pole sana, mara una vigezo unatafuta mchumba.... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/433466-nina-vigezo-vyote.html

Mara unatafuta wa kula nae bata..... https://www.jamiiforums.com/love-connect/436201-natafuta-mwanaume-wa-kula-nae-bata-kesho.html

Kisha ukaomba msaada kwa kutokufika kilimani..... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/438702-sijawahi-kufika-kileleni.html

Leo tena unazuka na jipya. Haya wana MMU kazi kwenu!

ha ha haa... Chezea Jenu na bado thread nyingine ziko njiani zinakuja lol!
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
Hongereni na nyinyi wanawake wote duniani kwa kuwa mna mapya, sio waongo, sio matapeli na kwa kweli ni viumbe mnaofaa sana.

Big up to wanawake wote pale Kimboka By Night, Joli club, Kinondoni, Shekilango road na maeneo yake, Meeda pub sinza, Kwa macheni-enzi hizo n.k. Kwa kweli nyinyi mpo juu.
 
ur hobby is ur freedom now mapenz nì mawazo kama ukikaa peke yako ndo utaumia jaribu kutafuta rafiki n go out life is gud out there n time wil heal u hope u get better
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

Mtazamo wangu nafikiri wewe ndio unamatatizo....jipange upya dada.
 
Pole sana, mara una vigezo unatafuta mchumba.... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/433466-nina-vigezo-vyote.html

Mara unatafuta wa kula nae bata..... https://www.jamiiforums.com/love-connect/436201-natafuta-mwanaume-wa-kula-nae-bata-kesho.html

Kisha ukaomba msaada kwa kutokufika kilimani..... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/438702-sijawahi-kufika-kileleni.html

Leo tena unazuka na jipya. Haya wana MMU kazi kwenu!
Hahahahahaha kumbe huyu kichenchede hivi! Akome kabisa kutuchezea akili zetu na bila shaka ni wale wale wauza sukari guru.

MwaJ naye utafikiri FBI umemuumbua vibaya vibaya, unatisha.
 
Back
Top Bottom