Mimi nina ushuhuda kwa wanaume

Mimi nina ushuhuda kwa wanaume

Binti tz

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2026
Posts
391
Reaction score
765
Mimi nimeweza kukaa bila kushiriki tendo la ndoa toka kuzaliwa hadi sasa nina miaka 30 na sijafa. kunao wanaosema wanaume hawawezi kukaa bila ngono ila huo ni uongo.

Mimi nimeweza kuishinda tamaa ya mwili ata wewe unaweza. ata saiv nilipo sina demu na ninaishi sitaki usinzi kabisa.nasubiria hadi wakati mwafaka.
 
Mimi nimeweza kukaa bila kushiriki tendo la ndoa toka kuzaliwa hadi sasa nina miaka 30 na sijafa. kunao wanaosema wanaume hawawezi kukaa bila ngono ila huo ni uongo.

Mimi nimeweza kuishinda tamaa ya mwili ata wewe unaweza. ata saiv nilipo sina demu na ninaishi sitaki usinzi kabisa.nasubiria hadi wakati mwafaka.
Una matatizo makubwa ya afya.....sio kila kufanya tendo ni uzinzi....tendo ni tiba ya akili pia kupunguza msongo wa mawazo, kufanya balance ya protini mwilini....
 
Mimi nimeweza kukaa bila kushiriki tendo la ndoa toka kuzaliwa hadi sasa nina miaka 30 na sijafa. kunao wanaosema wanaume hawawezi kukaa bila ngono ila huo ni uongo.

Mimi nimeweza kuishinda tamaa ya mwili ata wewe unaweza. ata saiv nilipo sina demu na ninaishi sitaki usinzi kabisa.nasubiria hadi wakati mwafaka.
Miaka 30 huijui papuchi? Wewe una matatizo bna
 
Back
Top Bottom