Mimi tena wanaume basi!

Mimi tena wanaume basi!

Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

Hapo bold unakosea bwana sio wote wanalugha moja, ni hao tu ulowajaribu. wanaume mbona tuko safi tu dadaangu, wachache tu wataka kutuchafulia CV nadhani
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
Nina wasiwasi wewe ndio una matatizo, haiwezekani wanaume wote ulokutana nao wakutende. Muone MziziMkavu akupe dawa ya kuondoa nuksi
 
Last edited by a moderator:
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

Upo hatarini kuukwa ukimwi kwa sababu inavyo onekana, ni kama umeamua kuingia kwenye usagaji na unatumia kuumizwa na wanaume ulio date now kama justification ya kuingia kwenye usagaji.Angalia sana kwa sababu utakutana na wanawake wenye background ya kimapenzi kama ya kwako ambao uwezekano wa wao kuwa wameambukizwa na v.v.u ni mkubwa kama ilivyo kwako. so take care
 
:laugh😛OLE MDOGO WANGU,UTAMPATA TU WA UKWELI, MRUDIE MUNGU WAKO OMBA SANA NAAMINI UTAPATA TU
 
Xa utafanyaje dada angu.wanaume 2walaumu nyie na nyie m2laumu cc,sema wapo baadh wako poa kama mimi hapa sema una bahat mbaya kdogo me nnaye wangu tayar halaf we inaonekana unataka wanaume ambao haumech naye mana kla m2 ana level yake xa kama we unataka hb mweny mkwanja hapo umenoa dada eg gate man with housegirl fresh
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

Me csemi basi ila nimewaweka rohoni hawa wa2 na ipo cku naamini watapata kinachiwafaa kwani mtenda hutendwa!
 
usiseme wanaume basi jiangalie kwanza ujue una matatizo gani
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
 
Nimesoma sana haka ka thread nikaona na mimi nichangie upuuzi wangu japo kidogo,

Katika mahusiano ya siku hizi kuna vitu kadhaa vinavyosababisha mahusiano hayo kutodumu au kuwa na matatizo na migogoro mingi sana. Baadhi ya matatizo haya ni yale ya kawaida ambayo hata zamani yalikuwepo na mengine ni yale yaliyoibuka hivi karibuni. Labda nianze na yale ya kawaida;

Mara nyingi watu wanapoingia kwenye mahusiano huwa wanakuwa na expectations fulani kutoka kwa upande wa pili na pindi inapotokea bahati mbaya zisitokee basi ndipo migogoro huanza kutokea na kufikia kuvunjika kwa mahusiano. Kwa mfano mtazamo wa nje humfanya muhusika mmoja kujenga taswira ya mwenzie na hivyo kuwa na picha ya huyo mwenzie hata kabla hawajawa pamoja, pindi inapotokea kwamba taswira aliyoitengeneza sivyo basi hufadhaika na kuamua kuendelea kutafuta taswira yake hata wakati mwingine akiwa bado na huyu aliyenaye.

sababu nyingine ni mapungufu ya kawaida ya kibinadamu; Haya unaweza kuyataja kwa urefu wake lakini kama mmoja wa upande wa pili hataridhishwa na mapungufu ya upande mwingine basi huweza kupelekea mahusiano kuvunjika. Muhimu kabisa katika mahusiano ni upole hata pale inapotokea kuna jambo baya limetokea, kusikiliza hata pale inakuwa umekosewa na kusamehe kwa kweli bila kuweka kinyongo na kukumbushia kila mara.

Sasa kwa yale ya siku hizi,
Kutoaminiana; Hili limekuwa tatizo kubwa sana siku hizi kutokana na mazingira na hali halisi ya masiha. Watu wanaingia kwenye mahusiano lakini wanakuwa hawaaminiani kitu ambacho kimekuwa kinapelekea watu hao kuwa na multiple relationships. Hii ni kwa pande zote mbili, wanawake wanawalalamikia wanaume na huku upande mwingine wanaume wanawalalamikia wanawake. Mahusiano kudumu hutaka vitu vingi ikiwemo commitment ya hali ya juu sana na sacrifice kwa kiwango fulani. Commitment hufanya mtu awe tayari kusamehe na kuendelea kuwepo na sacrifice humfanya mtu afikirie mara mbili kabla hajafanya kitu huenda anachokipenda lakini kama kinaweza kumkwaza mwenzie.

Relationships for a purpose; Hili ni tatizo kubwa sana, kwa bahati mbaya sana hili liko zaidi kwa mabinti (jinsia ya kike) kila wanapotaka kuingia kwenye mahusiano huangalia zaidi mtu wanayetaka kuingia naye kwenye mahusiano yukoje financially. Sasa tatizo hili limekuwa na kuhamia kwa wanaume ambao sasa wanaamini kabisa kama uko stable financially then unaweza kumpata mwanamke yoyote na since now they see women kama product like a pair of shoes then wakimchoka mmoja wanahamia kwa mwingine na maisha yanaendelea bila kuangalia maumivu wanayoyaacha nyuma yao.

Nimechoka kuandika ntaendelea baadae ngoja nifanye kazi za watu kwanza

CC. snowhite nimekumiss
 
Last edited by a moderator:
haueleweki Jenu,mpenzi utafte ww,wa kula nae bata utafte ww uyo uyo,haya ss ,ukafanikiwa,leo unasema nn tena?..something is wrong somewhere..haiwezekani iwe ww tuuuu..alaf vyote vinatokea ndani ya muda gani vile?
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
 
Last edited by a moderator:
Nimesoma sana haka ka thread nikaona na mimi nichangie upuuzi wangu japo kidogo,

Katika mahusiano ya siku hizi kuna vitu kadhaa vinavyosababisha mahusiano hayo kutodumu au kuwa na matatizo na migogoro mingi sana. Baadhi ya matatizo haya ni yale ya kawaida ambayo hata zamani yalikuwepo na mengine ni yale yaliyoibuka hivi karibuni. Labda nianze na yale ya kawaida;

Mara nyingi watu wanapoingia kwenye mahusiano huwa wanakuwa na expectations fulani kutoka kwa upande wa pili na pindi inapotokea bahati mbaya zisitokee basi ndipo migogoro huanza kutokea na kufikia kuvunjika kwa mahusiano. Kwa mfano mtazamo wa nje humfanya muhusika mmoja kujenga taswira ya mwenzie na hivyo kuwa na picha ya huyo mwenzie hata kabla hawajawa pamoja, pindi inapotokea kwamba taswira aliyoitengeneza sivyo basi hufadhaika na kuamua kuendelea kutafuta taswira yake hata wakati mwingine akiwa bado na huyu aliyenaye.

sababu nyingine ni mapungufu ya kawaida ya kibinadamu; Haya unaweza kuyataja kwa urefu wake lakini kama mmoja wa upande wa pili hataridhishwa na mapungufu ya upande mwingine basi huweza kupelekea mahusiano kuvunjika. Muhimu kabisa katika mahusiano ni upole hata pale inapotokea kuna jambo baya limetokea, kusikiliza hata pale inakuwa umekosewa na kusamehe kwa kweli bila kuweka kinyongo na kukumbushia kila mara.

Sasa kwa yale ya siku hizi,
Kutoaminiana; Hili limekuwa tatizo kubwa sana siku hizi kutokana na mazingira na hali halisi ya masiha. Watu wanaingia kwenye mahusiano lakini wanakuwa hawaaminiani kitu ambacho kimekuwa kinapelekea watu hao kuwa na multiple relationships. Hii ni kwa pande zote mbili, wanawake wanawalalamikia wanaume na huku upande mwingine wanaume wanawalalamikia wanawake. Mahusiano kudumu hutaka vitu vingi ikiwemo commitment ya hali ya juu sana na sacrifice kwa kiwango fulani. Commitment hufanya mtu awe tayari kusamehe na kuendelea kuwepo na sacrifice humfanya mtu afikirie mara mbili kabla hajafanya kitu huenda anachokipenda lakini kama kinaweza kumkwaza mwenzie.

Relationships for a purpose; Hili ni tatizo kubwa sana, kwa bahati mbaya sana hili liko zaidi kwa mabinti (jinsia ya kike) kila wanapotaka kuingia kwenye mahusiano huangalia zaidi mtu wanayetaka kuingia naye kwenye mahusiano yukoje financially. Sasa tatizo hili limekuwa na kuhamia kwa wanaume ambao sasa wanaamini kabisa kama uko stable financially then unaweza kumpata mwanamke yoyote na since now they see women kama product like a pair of shoes then wakimchoka mmoja wanahamia kwa mwingine na maisha yanaendelea bila kuangalia maumivu wanayoyaacha nyuma yao.

Nimechoka kuandika ntaendelea baadae ngoja nifanye kazi za watu kwanza

CC. snowhite nimekumiss
miss ya mingimingi partner !potea sana wewe!
upo??
 
Swali. Je wafahamu kazi ya mwanaume kwa wanawake ni nini?
 
Huwezi kukwepa kunywa maji kisa umena uchafu wa maji, maji ni mhimu maji ni sheria ya Mungu.
 
Back
Top Bottom