Mimi tena wanaume basi!

Mimi tena wanaume basi!

Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
kama umepata mwanamke mwenzio sema usizuge
 
Mweeeee Jenu weye.. Tuambie kama hutaki tena dushe, unahamia wapi??

Kwa dildo?? Au unakuwa msagaji lolz!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
si ulitaka mwenyewe? mbona wengine wanakaaa jichunguze
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

Kitakuwasha tu utawatafuta mwenyewe! Unless uwe msagaji!
 
Pole sana, mara una vigezo unatafuta mchumba.... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/433466-nina-vigezo-vyote.html

Mara unatafuta wa kula nae bata..... https://www.jamiiforums.com/love-connect/436201-natafuta-mwanaume-wa-kula-nae-bata-kesho.html

Kisha ukaomba msaada kwa kutokufika kilimani..... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/438702-sijawahi-kufika-kileleni.html

Leo tena unazuka na jipya. Haya wana MMU kazi kwenu!

Mmmh kwangu inatia shaka....post zote n zinakinzanakinzana!!!pole uake!!
 
kwanini na wamefanya kitu gani kibaya sana mpaka utu tusi kiasi hicho??
 
hili ndio tatizo kubwa la baadhi ya wanawake,sizitaki mbichi hizi...vipi mkungu ukidondoka....
 
Wapo wanaume wazuri sana ukiwapata utasahau maumivu yote.
 
Back
Top Bottom