Mimi tena wanaume basi!

Mimi tena wanaume basi!

Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha


Kwahiyo unahamia kwa wanawake wenzako a.k.a usagaji au umeshanunua Dildo?
 
HAHAHAAAAAAAAAAAAA! (Its not a laughing matter and im ashamed of my self.)

There is only 1 golden rule that will guarantee you happiness in any relationship!

NEVER EVER EXPECT ANYTHING!!!!!!!!!!!!!!!! Trust me you wont be disappointed.

Ila if you have the whole thing planned you are in for some serious disappointments.

Mwenzako kila mwanaume anayekutana nae tayari anaanza kupata picha ameshika maua wanatembea kwa aisle hehehe
 
::
Sizitaki mbichi hizi...Sungura kajisemea,
=
 
Wanawake tunapenda kusingizia wanaume sana wakati wanawake wengi huwa hawajui makosa yao au kuwa wanakitu/tabia inakimbiza wanaume hao.

hata walio kwenye ndoa wanasema wanaume wakati wao wake ndio chanzo cha matatizo na hawajijui.

jaribu kujiuliza inakuwaje na ni bhada ya nini, na wewe pia uwa unaongea nini kwao.
kuna wasichana wengine wanaongea sanaaaaaaa, wengine wanataka bana wanaume kwa kuwafatilia hata baada ya kujuana siku moja tu, wengine wana story nyingi zinazoweza subiri baadae, hata za familia yangu hivi ndugu vile.

usikate tamaa

hapo kwenye red, ni nonsense totally NONSENSE.
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

tatizo liko hapo!jamani kutiw.a sio garantii ya kumiliki mwanamme
 
Wanawake tunapenda kusingizia wanaume sana wakati wanawake wengi huwa hawajui makosa yao au kuwa wanakitu/tabia inakimbiza wanaume hao.

hata walio kwenye ndoa wanasema wanaume wakati wao wake ndio chanzo cha matatizo na hawajijui.

jaribu kujiuliza inakuwaje na ni bhada ya nini, na wewe pia uwa unaongea nini kwao.
kuna wasichana wengine wanaongea sanaaaaaaa, wengine wanataka bana wanaume kwa kuwafatilia hata baada ya kujuana siku moja tu, wengine wana story nyingi zinazoweza subiri baadae, hata za familia yangu hivi ndugu vile.

usikate tamaa

hayajakukuta ndio maana unaongea tuuu!!! hatuwezi kuwakwepa lakini hivyo ndivyo ilivyo!!! mwanaume ni kiti cha shetani...

ukivunja ungo utakuja kuniambia..
 
hahha sema ulishagegedwa vyakutosha na huolewi
Mzab siyo vizuri kumwambia mwenzio hivyo, unazidi kushindilia msumari wa moto kwenye kidonda. keshaumizwa inatakiwa tumpe moyo, lakini wewe unagongelea pale pale Loh!
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha
Jaribu wanawake wenzio... AU kuna mmoja alishamnunua 'jerimani shefadi'.....
 
hayajakukuta ndio maana unaongea tuuu!!! hatuwezi kuwakwepa lakini hivyo ndivyo ilivyo!!! mwanaume ni kiti cha shetani...

ukivunja ungo utakuja kuniambia..
Hata kama huwa mnatukalia lakini sisi si kiti cha shetani.......Mtasema yotee lakini mtarudi tu, chezeya genye weye...

 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

unajidanganya sana wewe!! tupo pia tunaosema wanawake bhaasi............tatizo hapo hujajua chaguo na type yako ndo maana na inaonekana huwa hujiulizi wala kuchunguza nini maana na dhamani ya penzi lako kwamtu au penzi la mtu kwako,,,,,,,kwa bahati mbaya ukishaanza kuacha ni vigumu saaana
 
hayajakukuta ndio maana unaongea tuuu!!! hatuwezi kuwakwepa lakini hivyo ndivyo ilivyo!!! mwanaume ni kiti cha shetani...

ukivunja ungo utakuja kuniambia..

sio kweli kuwa sisi ni kiti cha shetani mama!! mbona kuna wanawake ambao wao pia ni kitanda cha shetani
 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

he he he he he he he he he he!!!!!!Ngoja kwanza!! Yamekukukuta eeeeeeeeeeehhhhhh!!!! Unachezea dunia!!!!! Pole sana. Uliowapata ni matapeli. Usikate tamaa na kuvunjika moyo. Dunia ina mitihani mingi, tena migumu kwelikweli kuliko ya mathematics, physics and biology. Pole sana mdogo wangu.

 
Wanaume tena basi,sitaki tena,hawana jipya,wote wana lugha moja,waongo,Matapeli,
Nimeshakuwa na mahusiano kibao na hawa viumbe hawafai,sasa yatosha

niPM nkuonyeshe tofauti
 
Back
Top Bottom