Mimi sijasoma kitabu hata kimoja tangu nimalize chuo.

Mimi sijasoma kitabu hata kimoja tangu nimalize chuo.

Naona watu hutaja list ya vitabu, walivyosoma 2018.
Mimi tangu 2001 sijasoma kitabu chochote zaidi ya heading za magazeti vituo vya mabasi.
Life iko vizuri tu, naomba niione tofauti yangu na wao. Naona niko sawa tu au ninatatizo nisilolifahamu.
Waungwana msaada.
Kwa hiyo unataka sema wangeficha burungutu la pesa kwenye kitabu usingeliona tokea 2001 mpaka leo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha nikisoma nitapoteza maana, sijasoma vitabu na sioni tofauti. Nilitaka niione kwa mnaosoma vitabu. Mimi kama nilivyosema I did then ili kujibu mitihani, I will do now if I have an exam to do, by I won't read them if I am not going to be tested. I don't see why nisome, hakuna mtihani hayo maarifa siyafanyii kazi sasa nini iwe motive kwangu ili nijisomee?!
Mbaya zaidi kwa akili hii utakuta wewe ni mkuu wa kitengo fulani daaah=!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mkuu usafiri wa uma unanipunguzia stress, unanirahisishia maisha kukwepa gharama zosizo za lazima, na pia naokoa mazingira si polute air.
Sasa hii ndiyo tofauti yako na wasomaji vitabu... Wamepata mbinu nyingi za maisha na kuongeza kipato hivyo wana usafiri binafsi wewe bado...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu hutaja list ya vitabu, walivyosoma 2018.
Mimi tangu 2001 sijasoma kitabu chochote zaidi ya heading za magazeti vituo vya mabasi.
Life iko vizuri tu, naomba niione tofauti yangu na wao. Naona niko sawa tu au ninatatizo nisilolifahamu.
Waungwana msaada.
Asie soma vitabu hudhani yupo sawa na wanaosoma vitabu umekosea sana. Lakini nafahamu pia asiejua kusoma huamini yuko sawa na wanaojua kusoma, na wa darasa la saba hudhani yupo sawa na wa kidato cha nne, na wa kidato cha nne hudhani yupo sawa na wa cha sita, unakosea sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are absolutely right, ninatafuta mlo wangu na familia yangu tu. Tukishiba tunasema asante Mungu tunalala tunasubiri our next meal. I have no desire to know anything extra from what I already know. As I said I have no desire to be a rich person, or a politician. Taaluma yangu inanipa mlo ns ninaridhika yani niko safi kabisa.
Taaluma yako ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kawaida hata kichaa huwa hajui kama ni kichaa. Na huona mambo yake yanaenda fresh tu. Ndiyo ilivyo kwa mjinga(Mtu ambaye hajapata maarifa) hujiona poa tu na hakuna tatizo lolote sababu maisha yanaenda. Ila ujue hiyo shida ya kukosa maarifa inaenda hadi kwa watoto wako na wajukuu wako.
 
Hata hiyo kaz unayofanya, how do you keep yourself updated?, Sasa naona waniaminisha kwa Nini wafanyakazi wengi kwenye maofisi mengi, utendagi wao upo chini ya kiwango, and tu local..poor customer care, kufanya Kazi kwa mazoea na kujifuta kwingi etc.. Ni wangapi walio kama Wewe wako kwenye maofisi??Kwel ww mtu uliye elimika na upo kazin bado hajui uhim wa kujua wawazo ya watu wengine, au watu wangine wanafanyeje Kazi kama ya kwako? Kusoma vitu sio lazima usime vitabu vya kuwa tajir.You sure you such depressed kiasi kwamba unachotaka tu Ili siku iende, kweli?
Hahaha sisi watanzania uwezo wetu umeishia hapo, hata tukisoma haitusaidii. I am not depressed as you suggested. I am happy and don't like reading books, hatuna updated books sasa tutapataje updated materials. Hakuna taasisi inayosimamia uingizwaji vitabu vilivyo up-to-date vyoote vya zamani, so why waste my time reviewing what I alredy know?!.
 
mkuu kawaida hata kichaa huwa hajui kama ni kichaa. Na huona mambo yake yanaenda fresh tu. Ndiyo ilivyo kwa mjinga(Mtu ambaye hajapata maarifa) hujiona poa tu na hakuna tatizo lolote sababu maisha yanaenda. Ila ujue hiyo shida ya kukosa maarifa inaenda hadi kwa watoto wako na wajukuu wako.
Hahaha kama nilivyo ni ujinga au ukichaa, let it be, I am totally fine with it. Maisha yanaenda na wanangu na wajukuu wakifikia nilipo thank God it will be Christmass in hell, nitakuwa mwenye furaha na amani daima.
 
Mbaya zaidi kwa akili hii utakuta wewe ni mkuu wa kitengo fulani daaah=!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha I wish I could be there too, tena ukuu wa kitengo ndio ningesinzia kabisa ofisini,kwenye gari la ofisi, kwenye vikao hadi nyumbani.
Ukifanikiwa kufikia ndoto zako, pumzika sasa ufurahie maisha, mnasoma sana hadi mnasahau mnataka nini.
 
Sasa hii ndiyo tofauti yako na wasomaji vitabu... Wamepata mbinu nyingi za maisha na kuongeza kipato hivyo wana usafiri binafsi wewe bado...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha usafiri binafsi ni stress tupu. Kuchange oli, kulipia insurance, kununua fire extinguisher na triangle, kulipia road license, kukimbizana na traffic polisi duh bora hivi nikimlipa konda nauli napata siti nalala mpaka mwisho.
 
Asie soma vitabu hudhani yupo sawa na wanaosoma vitabu umekosea sana. Lakini nafahamu pia asiejua kusoma huamini yuko sawa na wanaojua kusoma, na wa darasa la saba hudhani yupo sawa na wa kidato cha nne, na wa kidato cha nne hudhani yupo sawa na wa cha sita, unakosea sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha sioni tofauti hilo ndilo tatizo langu haswa. Na najiuliza why nisome random bila kujua hicho nitakachokisoma nita ki-apply wapi.
 
Wewe utakuwa punguani basi. Yaani huelewi kabisa kwamba hapa Duniani kote, maarifa na ujuzi vinabadilika kila leo. Na ni hapo ndipo linapokuja suala la kusoma ama kujisomea (vitabu n.k). Hizi akili mbona ni kama za akina Bashite na "Baba" yake?
 
Wewe utakuwa punguani basi. Yaani huelewi kabisa kwamba hapa Duniani kote, maarifa na ujuzi vinabadilika kila leo. Na ni hapo ndipo linapokuja suala la kusoma ama kujisomea (vitabu n.k). Hizi akili mbona ni kama za akina Bashite na "Baba" yake?
Hahaha sasa hapa kwetu vitabu ni vya zamani hakuna updated version za kitaaluma, sasa kusoma vitabu vile vile sioni tija na kusoma hadithi niliacha muda mrefu sanaaa zile Hadly Chase series za kiswahili za Elvis Musiba.
Hahaha na ikiwa Bashite yuko kama mimi basi wampe umakamu wa rais kabisa.
Still I am not convinced kusoma vitabu.
 
Hahaha hata nikujibu utaendelea kunishauri nisome, tena sana. Lakini sioni kupungukiwa na knowledge niliyonayo, na niko happy client wangu are very happy, sasa why nisome vitu vingine?!
Hata babu wa Loliondo clients wake walikuwa very happy alipokuwa akiwanywesha mavikombe yake..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom