Mimi sijasoma kitabu hata kimoja tangu nimalize chuo.

Mimi sijasoma kitabu hata kimoja tangu nimalize chuo.

"Ni vyema kujifunza mengi na sio kujua kila kitu"

Mkuu uko fresh tu, kusoma magazeti na Jf inatosha, ongezea na career yako kiaina (sio lazima)
Nilijua nilichojifunza na ninakifanyia kazi, sioni kwanini nijifunze kitu kingine.
 
Nilijua nilichojifunza na ninakifanyia kazi, sioni kwanini nijifunze kitu kingine.

Mkuu fanya ujaribu kusoma then ukiona havina faida piga chini, sio kiila kitu usimuliwe wakati kusoma unaweza.

Jaribu ujionee faida zake, ukiona hasara piga chini
 
Mkuu fanya ujaribu kusoma then ukiona havina faida piga chini, sio kiila kitu usimuliwe wakati kusoma unaweza.

Jaribu ujionee faida zake, ukiona hasara piga chini
Hahaha bila mtihani sitaelewa, ndio tatizo langu.
 
Kuorodhesha vitabu mwisho wa mwaka imekuwa fashion tu lakini ukipata wasaa wa kukaa na hao wasoma vitabu huwezi hata kuona tofauti yao kwenye ku-reason,thinking na mtazamo kuhusu maisha au mafanikio kwenye career zao na maisha yao ni haya haya tu kama wasiosoma! Kidogo kwa wanaowasoma kina Kiyosaki and the likes
Huyu Kiyosaki ni mtunzi tofauti na vitabu vyake vinatofauti gani na watunzi wengine?!
 
Back
Top Bottom