handsomezombie
JF-Expert Member
- Sep 27, 2018
- 302
- 438
torrent thank me later
torrent thank me later
Hahaha kusoma vitabu bila purpose kwangu naona adhabu, nilizoea chuo napewa summary za lecture sasa nisome wakati hakuna mtihani sidhani hata kama ntaelewa.ni sawa kuingia JF,ukisoma vitabu unafundishwa mambo mbali mbali ya ulimwengu huu,kuwa entertained,kupass time,kutibika..etc
Hahaha bila mtihani huwa naona ni adhabu kusoma kitabu, bora gazeti la sani naweza kusomaila ma extroverts nilisikia hawapendi kukaa chini na kusoma kitabu,lol
Hahaha mi naishi vizuri sana, siogopi traffic police barabarani, silipii road license, silipii insurance, sina fire extinguisher wala triangle. Sibadirishi oil, wala sinunui tairi, sasa mafita ya gari ndio hata bei yake sijui.mkuu punguza kasi aisee utamfanya apate mfadhaiko wa moyo
Hahaha kusoma vitabu bila purpose kwangu naona adhabu, nilizoea chuo napewa summary za lecture sasa nisome wakati hakuna mtihani sidhani hata kama ntaelewa.
aikatai mkuu#gdlfHahaha mi naishi vizuri sana, siogopi traffic police barabarani, silipii road license, silipii insurance, sina fire extinguisher wala triangle. Sibadirishi oil, wala sinunui tairi, sasa mafita ya gari ndio hata bei yake sijui.
Hivi nikiwa msomaji wa magazeti ya shigongo nitakuwa naenda sawa piaMaarifa yapo kwenye maandishi lakini si kila maandishi ni educative.
Choose wisely.
Kuna entertainers sioni how kitabu kitani entertain, niliishakuwa edicated tena nikawa tested na nika faulu nika graduate. Mimi husoma kama kuna mtihani bila hivyo sioni purpose yoyote, maana sina motive yoyote na mavitabu. Kupass time labda niangalie mpira. Stress hizo sina kabisa.purpose ni kuwa entertained,educated,mfanokuna zile manual zinakufundisha juu ya kujitibu au kupika,lol pass time,release stress,,,,etc
Hahaha sijui na natamani kujua hili, I don't see how can a book change my life. Vile vya shule nakubali vilibadiri maisha yangu.
I agree with this statement. I have no desire to open a book for any reason whatsoever. I see that habit like self torture.if you want to hide something from a black person, put it in a book
You are right boss!!Kuna entertainers sioni how kitabu kitani entertain, niliishakuwa edicated tena nikawa tested na nika faulu nika graduate. Mimi husoma kama kuna mtihani bila hivyo sioni purpose yoyote, maana sina motive yoyote na mavitabu. Kupass time labda niangalie mpira. Stress hizo sina kabisa.
Hahaha idea ya kufanya nini tena?! Kazi yangu ipo, nasubiri nistaafu nianze kukimbizana na NSSF basi.
Kuna entertainers sioni how kitabu kitani entertain, niliishakuwa edicated tena nikawa tested na nika faulu nika graduate. Mimi husoma kama kuna mtihani bila hivyo sioni purpose yoyote, maana sina motive yoyote na mavitabu. Kupass time labda niangalie mpira. Stress hizo sina kabisa.
Hahaha you are right
Hahaha kule shule au chuo walikuwa wananipima kama naelewa au sielewi au sijaelewa kupitia mitihani. Baada ya wao kusema ninaelewa na waka approve nika graduate nikaona nimeshusha mzigo, sasa huo wa wengine. Sasa leo hii bado niendelee kujufunza kupitia vitabu?! Nini hicho nataka kujua na kwa nini?! Binadamu unapaswa kufikia wakati u-relax ufurahie maisha, kilasiku mambo mapya kichwani duh poleni. Mimi nimechagua kupumzika, sitaki kijitesa kubeba vitabu umri huu, yani hata biblia sisomi, acha padri, mchungaji, pastor au nabii wasome waje wanisimulie kanisani.mnhhhh kuna vitabu vinaentertain,kama huvitafuti sio kwamba havipo,education sio kuwa na cheti peke yake..tena cheti cha miaka hiyooo..dunia inaenda ikibadilika,environment ina change ...ni vizuri kujua kinachoendelea duniani,new inventions...regularily ujiupdate…..sasa kwa nini ulienda chou..uka 'elimika' through books?? kama huoni umuhimu wa vitabu,si ungekaa nyumbani?lol